SaluteKwa wale ambao tumebahatika kuona uchi wa mwanamke zaidi ya mmoja, tunao uzoefu wa kumwaga na kumwagwa. Ukimwagwa unapata maumivu makali sana na kama kichwa chako hakina shock absorber na hauna mpango B utateseka sana. Hali kadhalika ukimwaga mtu, unaweza ukapata furaha mwanzo lakini kama huyo uliyemwaga alikua ni for real, maumivu makali utayapata baadae, tena pale unapojaribu kumrudia ikashindikana. Nasaha yangu ni kwamba usivunje mahusiano, acha muda uyauvunje, kuna wakati unaotokea mnaachana na mtu bila ata ya kusema neno lolote na kila mtu anafurahia.
Ha ha haya nimemsamehe kwa kweli maana si kwa mahaba haya....ni shidaaaaVlad ana roho mbaya msamehe bure tu kadada
Kwa wale ambao tumebahatika kuona uchi wa mwanamke zaidi ya mmoja, tunao uzoefu wa kumwaga na kumwagwa. Ukimwagwa unapata maumivu makali sana na kama kichwa chako hakina shock absorber na hauna mpango B utateseka sana. Hali kadhalika ukimwaga mtu, unaweza ukapata furaha mwanzo lakini kama huyo uliyemwaga alikua ni for real, maumivu makali utayapata baadae, tena pale unapojaribu kumrudia ikashindikana. Nasaha yangu ni kwamba usivunje mahusiano, acha muda uyauvunje, kuna wakati unaotokea mnaachana na mtu bila ata ya kusema neno lolote na kila mtu anafurahia.
Nambie shida nini nikubembelezee utashangaa mwenyeweHa ha haya nimemsamehe kwa kweli maana si kwa mahaba haya....ni shidaaaa
Mmmh acha tu kapeace acha mwanaume ana roho ngumu huyu acha tu we nibemnelezee tu mwenzio nishakwama hali mbayaNambie shida nini nikubembelezee utashangaa mwenyewe
Relaax sweetheart ngoja nianze ukapeace wanguMmmh acha tu kapeace acha mwanaume ana roho ngumu huyu acha tu we nibemnelezee tu mwenzio nishakwama hali mbaya
Mmmh sijui nishapoteza network hapa ....sizani kapeace ....maana acha tuRelaax sweetheart ngoja nianze ukapeace wangu
Utulize moyo wako usimuonyeshe kumuhitaji sana, ni situation mbaya usione hapa nakupa utani wa hapa na pale Halafu usikute na yy yupo anabembeleza kwingineMmmh sijui nishapoteza network hapa ....sizani kapeace ....maana acha tu
Asante kwa ushauri wako ...nahisi utanisaidia na nimejifunza kitu kapeace ...ubarikiweUtulize moyo wako usimuonyeshe kumuhitaji sana, ni situation mbaya usione hapa nakupa utani wa hapa na pale Halafu usikute na yy yupo anabembeleza kwingine
Siku ingine usipende kuzamisha miguu miwili uwe unaweka mmoja coz ni rahisi kutoka tatizo la mguu mmoja huwezo furahia mapenzi to the maximum
Kuanzia leo mimi na wewe basi!Nikimfikiria kama sio mzazi wangu hata sipati shida!! Aende tu ye ni nani hapa duniani kama nikimkosa nitaishi miserable life
Kufanyaje????Mimi na wewe basi!
Kila la heri bestAh
Asante kwa ushauri wako ...nahisi utanisaidia na nimejifunza kitu kapeace ...ubarikiwe
pamoja kapeace .....piece and loveKila la heri best