Castr
JF-Expert Member
- Apr 5, 2014
- 31,983
- 64,011
- Thread starter
- #61
Vyakula vifuatavyo vinaboost testosterone.
-Mbegu za maboga
-Tangawizi
-Tikiti maji
-Vyakula vyenye asili ya baharini mfano samaki, pweza, papa, ngisi n.k
Kwa anayefanya mazoezi (mwanaume) anapokula vyakula hivi hufanya mwili kuendelea kutoa hiyo homoni ambayo huhitajika na mwili katika kuutanua, nguvu na kukuza misuli.
Up side ni kua inakuongezea na libido.
-Mbegu za maboga
-Tangawizi
-Tikiti maji
-Vyakula vyenye asili ya baharini mfano samaki, pweza, papa, ngisi n.k
Kwa anayefanya mazoezi (mwanaume) anapokula vyakula hivi hufanya mwili kuendelea kutoa hiyo homoni ambayo huhitajika na mwili katika kuutanua, nguvu na kukuza misuli.
Up side ni kua inakuongezea na libido.