SPECIAL TMN
JF-Expert Member
- Jan 3, 2014
- 1,111
- 803
U mean msamaha wa rais hauwahusu rapist n drug dealer?mfungwa wa kike hachangamani na askari wa kiume
mfungwa wa zaidi ya miaka10 hawezi kumalizia kifungo gereza1 so watazunguka magereza Tanzania hadi wakome
jela wote n sawa tuu ila pesa inaweza kukufanya ukaepuka magenge ya kazi ngumu hapo ni baada ya kusota sana
zaidi ya punyeto(tena usishikwe maana toilet unaingia kwa muda maalumu na unajisaidia kwa muda uliopangiwa na kierehere wa toilet sasa zidisha muda au fosi uone nguvu ya kierehere na nyapara)
hukumu ikishatoka hakuna wa kukuonea huruma myb rufaa au msamaha wa raisi(huu unakujaga na masharti na maranyingi wabakaji na ma pusha auwahusu)
na wakati wa kuingia ukipata nguo mpya mshukuru mungu maana zitakusogeza hata 2yrs hivii msishangae kesho kumkuta nsembo na shati ilorauka na suruali haieleweki ni gauni au pensi
wanawake wanaraha magereza yao ni masafi na chakula chao ni kizuri na hawafanyi kazi ngumu!!!
*mahakamani ni fact sio blabla asa bora hakimu kuliko jaji .
Tena nasikia nsembo alikuwa bwana wa shoga ake shamimu (mboni) ndio bibie akaolewa naye kabisa....Kama ni kweli mboni amshukuru Mungu kumuepusha na Shari hii
Nguvu ya Rais ipo popoteU mean msamaha wa rais hauwahusu rapist n drug dealer?
So kwenye bata huwa tunamiksiwa hivi vitu eeh?Kuna wajinga wachache humu wanasema eti mateja wote wamejitakia wenyewe...hawa wazungu wa unga wana mbinu nyingi kweli...hiyo heroine mtu akikuchanganyia kwenye kitu chochote hata chakula au kinywaji mara kadhaa tu unanasa na utakuwa unataka kwenda kula kwake kila siku...ina uwezo kumfanya kuwa addicted akiitumia mara nne tu...na ndio mbinu mara nyingi hawa jamaa wanatumia...Huko kwenye mastarehe watu wanaekewa sana madude basi tu sir God naye anasaidia
marazote hua hivyo ingawa raisi anaweza kumsamehe yoyote kadri ipendezavyo!!!U mean msamaha wa rais hauwahusu rapist n drug dealer?
hujawahi fika kwa Mpalange hata mara moja ukizingatia na avatar yako Iko poaHaaahaaaahaaa
Kidogo uende Buza kwa mpalange
Unamuona Mzee wa watu amevimba huku chini na kanzu yake una assume kuwa ana busha kumbe ameficha kilo kadhaa za unga
Mno, nauna waua bwimbwi wameucharukia uzi, wanasahau hata sisi tuliumia sana kuwa na jamaa zetu mateja. Malipo ni hapa hapa dunianiWauza ngede wameuvamia Kwa hasira sana
Tunawachora tu
Hili ni swali au ni maelezo yako?hujawahi fika kwa Mpalange hata mara moja ukizingatia na avatar yako Iko poa
Ok mkuu je rufaa si inaweza pia kusaidia hasa huyo mama?marazote hua hivyo ingawa raisi anaweza kumsamehe yoyote kadri ipendezavyo!!!
Chaaa mbona kama kuna kastor hapamtoto wa kike ni wewe unaenda kuangalia BASHA wako anavyoyoyoma......niko vema kuliko unavyofikiria.......muulize shamimu mkazwaji mwenzio......the limited ni nani....duka lake la sinza aikopa kwangu mtaji......au unataka nikwambie na kumkaza nilimkaza kizibo wewe.......walijaribu kunifool,,,,..kwanza bashako bora afungwe huyo mmachame angemuua..... am smart than ever KENGE jike wewe....hamia MOMBASA......
Hafaidiki na chochote wala hapendi,ila anapotaka jambo liwe linakuwa japo hapendi. Mola wetu ana vitu hivi :Unadhani Mungu anafaidika au kufurahia kumpeleka mwanadamu motoni..!?
Kukiri kosa haikufanyi usihukumiweLicha ya Abdul Kukiri kwa DPP asamehewe haijasaidia kitu.
Kutokupenda na hasara ni vitu viwiki tofauti.Je kwanini nikisema ni hasara kubwa kwa Mungu mwanadamu mmoja kwenda jehanam nakua nimekosea kwa mujibu wako????
Referring your Quote above
Hapo ndio alipojikamatisha...bora angekana kabisa unga sio wake, wamempandikizia...mwanasheria wake sijui alimshauri vipi..sema za mwizi ni arobainiLicha ya Abdul Kukiri kwa DPP asamehewe haijasaidia kitu.
Soma kuna mtu kamtaja huyo ndiyo alimwamwambia Nsembo kuwa DAB atamkamata.kamtaja mwana fa kwa lipi tena😲😲😲