ras jeff kapita
JF-Expert Member
- Jan 4, 2015
- 19,916
- 28,686
Mkome kutudharau tusio na mijihelaAlifanya wanawake mabwana tulio nao tuwaone mafala tu .hata elfu tano ya kibubu kwa siku anashindwa?? Kumbe bna daah .
Mkome kutudharau tusio na mijihelaAlifanya wanawake mabwana tulio nao tuwaone mafala tu .hata elfu tano ya kibubu kwa siku anashindwa?? Kumbe bna daah .
?Hili ni swali au ni maelezo yako?
Kabla sijakujibu kwanza:
Three to 4 years....Appeal inachukua muda lkn!
Ova
Mrangi sasa naamini ulivyonijibu kuhusu wale matozi waliokutwa na zile dawa za kulevya hivi karibuni ulivyosema kwamba itakua ngumu kwao kuchomoka ktk hii case.Nilijua tu hiyo inafuata
Hizi kesi za madawa sahvi
Hukumu zake syo mchezo
Ova
Waliodandia huu uzi sio watumiajiNilichogundua huu uzi umeingiliwa na watumiaji wa hizo madawa wengi wanasapoti uuzwaju wa haya madawa bila kujua athar ambazo wameachan huku mtaani
Kama madawa haya n mazuri basi wangetumia wao wenyewe na kuwapa watoto wao lakn hukuti wakifanya haya wanataka familia za wengne ziangamie kwa kigezo cha kutafuta pesa
HALAFU Kuna hili swala wengi wanadai SHAMIMU alikuwa mtu poa usichojua wauzaji wengi wa hiz mambo hujifanya watu poa wenye huruma Sana na wanatoa misaada mingi had unashangaa siku mtu akikamatwa majiran wote wanakuwa upande wake sababu hakuonesha tabia au viashiria vya uuzaj wa ngada kitaalam tunaita kujivika ngoz ya KONDOO wakat wewe n CHUI
Kwa sisi tuliobahatika kuish maeneo yenye changamoto hizi tunajua uhalisia wa haya mambo na jins vijana wanavyoteseka tembelea SOBER HOUSE waulize waathirika wa madawa watakuambia mtiti wa kuachana na madawa ulivyo mgumu
Msidanganyike na sura upole na misaada wanayotoa hao watu mkadhan kwamba wao n wema hiyo n zuga tu wanawabrain wash ili muamini kuwa n watu salama CHONCHI alienda mbali akawa ananunua magar ya vituo vya polisi na kujaza mafuta magar yao unategemea polisi gan angeweza kumkamata kiurahis kwa network aliyokuwa nayo
Ndio maana mm namkubali Rais wa PHILIPPINES HON DUTERTE yeye n mwendo wa shaba tu hana mzaha wamexico waliiteka Philippines Kama yao kwa usambazaji wa ngada nasisi tulikuwa tunaelekea huko
Kiukwel nilipingana na the late Magufuli kwa mambo mengi ila kwenye hili la ngada nilimuunga mkono kwa asilimia zote namuomba na madam president naye akomae na biashara hii had kieleweke
Sio watumiaji ni wauzaji fatilia story zao,ila hilo halifanyi wanaomjua Shamimu kabla ya Abdul kumzungumzia vyema mnyonge mnyongeni .Nilichogundua huu uzi umeingiliwa na watumiaji wa hizo madawa wengi wanasapoti uuzwaju wa haya madawa bila kujua athar ambazo wameachan huku mtaani
Kama madawa haya n mazuri basi wangetumia wao wenyewe na kuwapa watoto wao lakn hukuti wakifanya haya wanataka familia za wengne ziangamie kwa kigezo cha kutafuta pesa
HALAFU Kuna hili swala wengi wanadai SHAMIMU alikuwa mtu poa usichojua wauzaji wengi wa hiz mambo hujifanya watu poa wenye huruma Sana na wanatoa misaada mingi had unashangaa siku mtu akikamatwa majiran wote wanakuwa upande wake sababu hakuonesha tabia au viashiria vya uuzaj wa ngada kitaalam tunaita kujivika ngoz ya KONDOO wakat wewe n CHUI
Kwa sisi tuliobahatika kuish maeneo yenye changamoto hizi tunajua uhalisia wa haya mambo na jins vijana wanavyoteseka tembelea SOBER HOUSE waulize waathirika wa madawa watakuambia mtiti wa kuachana na madawa ulivyo mgumu
Msidanganyike na sura upole na misaada wanayotoa hao watu mkadhan kwamba wao n wema hiyo n zuga tu wanawabrain wash ili muamini kuwa n watu salama CHONCHI alienda mbali akawa ananunua magar ya vituo vya polisi na kujaza mafuta magar yao unategemea polisi gan angeweza kumkamata kiurahis kwa network aliyokuwa nayo
Ndio maana mm namkubali Rais wa PHILIPPINES HON DUTERTE yeye n mwendo wa shaba tu hana mzaha wamexico waliiteka Philippines Kama yao kwa usambazaji wa ngada nasisi tulikuwa tunaelekea huko
Kiukwel nilipingana na the late Magufuli kwa mambo mengi ila kwenye hili la ngada nilimuunga mkono kwa asilimia zote namuomba na madam president naye akomae na biashara hii had kieleweke
Nsembo akikusikia unamuita mnyonge atakuchapa vibao, sio mnyonge na hakuwahi kuwa mnyonge!HUKUMU YA WANYONGE NDO HYO..! WENYE BIASHARA ZAO WANAGONGA CHEERS!
Unajua ilifika mahali wakawa wanauza pipi za unga mashuleni,hapo napo alaumiwe mtoto wa darasa la tatu anayekula pipi au ubuyu?Kuna mtu aliwaforce hao mateja kula hayo madawa ; mununuaji na muuzaji wote wanamakosa ;
Shida tupu hao jamaa (talking through experience)Nilishawahi kuishi na mtumiaji wa madawa
Hilo balaa lake sasa humo ndani
Ova
HapanaHivi wanandoa wakifungwa wanapata muda wakukipasha kipolo kidogo?
unamjua abdul vizuri ndugu yangu???Inauma na inachoma shamimu kufungwa maisha na dada wa watu hauzi Unga na aliewaekea Unga ni makonda huyu makonda huyu Mungu atamuonesha kabla hajafa na uzao wake ni Roho mbaya sana.
Wale washapotea....labda itoke maajabu gani sijui..Mrangi sasa naamini ulivyonijibu kuhusu wale matozi waliokutwa na zile dawa za kulevya hivi karibuni ulivyosema kwamba itakua ngumu kwao kuchomoka ktk hii case.
SanaSo kwenye bata huwa tunamiksiwa hivi vitu eeh?
Ntaanza kuwa makini na marafiki zangu
Alijiamini na watu waliyokuwa wanamkingia kifua, ila watu wengi walipewa onnyo ila wengine walikaidi walidharau waliendeleaunamjua abdul vizuri ndugu yangu???
kama umewahi kuwajua hata kwa bahati mbaya wauza ngada wa town wa miaka 10 iliyopita jina la abdul nsembo haliwezi kuwa geni masikioni mwako
huyu na wenzake kina rumishael shoo wamepiga sana dili za ngada wenzake walistuka mapema wakakimbilia south na wengine kuwa low key baada ya gwiji lao shkuba kubebwa na DEA sema huyu abdul alijiona yeye ana mbinu kama za medelin cartel akaendelea kuflex
makonda ana mabaya yake lakini kwenye hili la abdul mtakuwa mnamuonea tu
shamimu kapigiwa kelele sana mitandaoni miaka ya nyuma sana n kina mange kuwa aache kuwadanganya wadada wa mjini kuwa biashara inalipa wakati fika anajua hela anazoflex nazo zinatokana na ngada
adhabu waliyopewa wanastahili kabisa bora mtu akupe ukimwi utakula ARV's kuliko kukufanya uwe adict wa cocaine, meth, au heroine hii kitu mbaya sana
kwani sheria inasemaje?Utter stupidity. Hawa mahakimu wa Tanzania wanafanya kazi kufurahisha watawala sio kufurahisha taaluma zao. Kesi ya drugs unawezaje kumfunga mtu gerezani maisha yake yote?
Sijawahi sikia. At the same time wauwaji wanatamba tu mitaani huko kisa wana authority. Ujinga sana. Naichukia Tanzania. Ffs.
weka kifungu tuone kinasemajeHakuna kitu kama hiki katika sheria. Labda kwa Digong a.k.a Rodrigo Duterte
tejaKuna mtu aliwaforce hao mateja kula hayo madawa ; mununuaji na muuzaji wote wanamakosa ;
dogo leo umeongea point kubwa sanaBaada ya mteremko ni mlima na baada ya mlima ni mteremko.
Wacha wapande kilima chao maana washakwisha pata thwawabu zao za duniani.
Tujitahidi kushuka mteremko baada ya kupanda mlima mkali. Earn what you get Legally