MONTESQUIEU
JF-Expert Member
- Nov 8, 2010
- 847
- 80
Kwa kamanda wa polisi kukiri kuwa maandamano ya Chadema Arusha yaliruhusiwa.
Nakwasababu nyepesi nyepesi eti chadema hawakuconfirm njia watakazo piata ni ujinga na aibu kwa hiki chombo.
Karne hii ya urahisi wa mawasiliano IGP na RPC kuwa na kauri mbili tofauti ni aibu sana...
Hawa mapolisi ndio wanao takiwa kushtakiwa kwa kuzua mtafaruku na kuanzisha vurugu sisizo kuwa na lazima..
-Hawa polisi wanashindwa kuelewa kuwa wao ni chombo cha kumlinda mwananchi na si chombo cha kumkandamiza mwananchi.
Pia hawaelewi kuwa kwa dhamana yao wanatakuwa kuwa non particm wao wamejisahau wanafanya kazi kama ccm.
Aibu kubwa kwa jeshi zima la polisi....
Wanajijengea uhasama usio walazima na wananchi.......
IGP ni kiongozi ubongo muhimu sana na busara pia.
Nakwasababu nyepesi nyepesi eti chadema hawakuconfirm njia watakazo piata ni ujinga na aibu kwa hiki chombo.
Karne hii ya urahisi wa mawasiliano IGP na RPC kuwa na kauri mbili tofauti ni aibu sana...
Hawa mapolisi ndio wanao takiwa kushtakiwa kwa kuzua mtafaruku na kuanzisha vurugu sisizo kuwa na lazima..
-Hawa polisi wanashindwa kuelewa kuwa wao ni chombo cha kumlinda mwananchi na si chombo cha kumkandamiza mwananchi.
Pia hawaelewi kuwa kwa dhamana yao wanatakuwa kuwa non particm wao wamejisahau wanafanya kazi kama ccm.
Aibu kubwa kwa jeshi zima la polisi....
Wanajijengea uhasama usio walazima na wananchi.......
IGP ni kiongozi ubongo muhimu sana na busara pia.