Geza Ulole
JF-Expert Member
- Oct 31, 2009
- 59,146
- 79,301
nenda zako wewe kuna uhuru wa mawazo tofauti! meli MV Nyerere ilivyopinduka walishangilia humu japo mimi nimekosoa vyombo vya ulinzi Kenya!"mna".......
mimi sio mkenya mkuu,,,, mimi ni mtanzania, hata hio nairobi naiona kwa tv tu.........
huwa sipendi mtu anapofurahia majanga ya wengine whether wana majigambo au hawana!..........
chukulia kama wangefurahia ile ajali ya kivuko kule victoria, ungejisikiaje???.........
haya mambo haifai kuchekana au kufurahia madhira ya wenzetu, wao mwiba wao ni al shabaab, tanzania mwiba wetu ni ajali za majini na nchi kavu!!!......
jiulize, ndege yetu moja ikianguka ikaua watu mamia wanatakiwa kufurahi kisa sie tunajisifu kwa kununua ndege mpya?? hapana haitakiwi kuwa hivyo mkuu......
after all, sisi wote ni weusi, hii mipaka waliweka wakoloni!!!