Plot4Sale Shamba linauzwa

B51

JF-Expert Member
Jan 1, 2019
569
781
Habari zenu wadau.

Nauza shamba lenye ukubwa wa heka 5. Shamba lipo Bagamoyo maeneo ya makurunge, Kama unatoka Dar kupitia bunju ukifika pale kwenye mzunguko (round about) ya kuingia mji wa bagamoyo Makurunge ipo kilometre 8 kuanzia pale kama unaelekea msata.

Ukiwa unapita njia hiyo ya Bagamoyo
msata ukifika sehem kwenye njia panda ya kwenda Saadani National Park, hapo ndio Makurunge.

Ukifika pale ni mwendo wa chini ya dakika 5 kwa pikipiki kufika shamba lilipo.

Shamba ni lakwangu halina udalali na nilishawapeleka watu wa ardhi wilaya Bagamoyo kwaajili ya kulipima ili kuendelea na mchakato wa kulipatia hati.

Hivyo shamba tayari lina mchoro .

Shamba ni Safi nimelisafisha lote ila sijapanda chochote.
Naliuza lote heka 5 kwa 4.5ML (million nne na laki tano). Kwa maelezo zaidi nipigie 0716 453 548..
 
Habari zenu wadau.
Nauza shamba lenye ukubwa wa heka 5. Shamba lipo Bagamoyo maeneo ya makurunge, Kama unatoka Dar kupitia bunju ukifika pale kwenye mzunguko (round about) ya kuingia mji wa bagamoyo Makurunge ipo kilometre 8 kuanzia pale kama unaelekea msata.
Ukiwa unapita njia hiyo ya bagamoyo msata ukifika sehem kwenye njia panda ya kwenda Saadani National Park, hapo ndio Makurunge.
Ukifika pale ni mwendo wa chini ya dakika 5 kwa pikipiki kufika shamba lilipo.
Shamba ni lakwangu halina udalali na nilishawapeleka watu wa ardhi wilaya Bagamoyo kwaajili ya kulipima ili kuendelea na mchakato wa kulipatia hati.
Hivyo shamba tayari lina mchoro .
Shamba ni Safi nimelisafisha lote ila sijapanda chochote.
Naliuza lote heka 5 kwa 4.5ML (million nne na laki tano). Kwa maelezo zaidi nipigie 0744 638063.
Lina document gani?
 
JAMANI NINA ENEO LANGU LIKO KIBAHA KWA MFIPA JIRANI NA SEC. NALIUZA. LINA UKUBWA WA NUSU HEKA. KUNA BOMA LA NYUMBA YA VYUMBA 3 VYOTE MASTER. SEBLE JIKO NA DINING. NIMEEZEKA VYUMBA 2. NA VYOO VYAKE TAYARI VINATUMIKA LINA TANK YA CHINI YA KUBUNIA MAJI LITA ELFU 3000.

NATAKA ML. 25
MM NDIO MMILIKI.

0685223804View attachment 2570906View attachment 2570907View attachment 2570908View attachment 2570909View attachment 2570910
IMG_20230309_160954_2.jpg
 
JAMANI NINA ENEO LANGU LIKO KIBAHA KWA MFIPA JIRANI NA SEC. NALIUZA. LINA UKUBWA WA NUSU HEKA. KUNA BOMA LA NYUMBA YA VYUMBA 3 VYOTE MASTER. SEBLE JIKO NA DINING. NIMEEZEKA VYUMBA 2. NA VYOO VYAKE TAYARI VINATUMIKA LINA TANK YA CHINI YA KUBUNIA MAJI LITA ELFU 3000.

NATAKA ML. 25
MM NDIO MMILIKI.

0685223804View attachment 2570906View attachment 2570907View attachment 2570908View attachment 2570909View attachment 2570910View attachment 2570911
Mkuu una nyaraka zote za eneo lako?
Ahsante
 
ENEO NA BOMA LINAUZWA
KIBAHA KWA MFIPA JIRANI NA SEC.YA SIMBANI .
ENEO LINA UKUBWA WA NUSU HEKA. KUNA BOMA LA NYUMBA YA VYUMBA 3 VYOTE MASTER. SEBLE JIKO NA DINING. NIMEEZEKA VYUMBA 2. NA VYOO VYAKE TAYARI VINATUMIKA LINA TANK YA CHINI YA KUVUNIA MAJI LITA ELFU 3000.

UMEME NGUZO MBILI
MAJI NI MITA 500

km.1 kutoka main road

NATAKA ML. 18
 
Habari zenu wadau.
Nauza shamba lenye ukubwa wa heka 5. Shamba lipo Bagamoyo maeneo ya makurunge, Kama unatoka Dar kupitia bunju ukifika pale kwenye mzunguko (round about) ya kuingia mji wa bagamoyo Makurunge ipo kilometre 8 kuanzia pale kama unaelekea msata.
Ukiwa unapita njia hiyo ya bagamoyo msata ukifika sehem kwenye njia panda ya kwenda Saadani National Park, hapo ndio Makurunge.
Ukifika pale ni mwendo wa chini ya dakika 5 kwa pikipiki kufika shamba lilipo.
Shamba ni lakwangu halina udalali na nilishawapeleka watu wa ardhi wilaya Bagamoyo kwaajili ya kulipima ili kuendelea na mchakato wa kulipatia hati.
Hivyo shamba tayari lina mchoro .
Shamba ni Safi nimelisafisha lote ila sijapanda chochote.
Naliuza lote heka 5 kwa 4.5ML (million nne na laki tano). Kwa maelezo zaidi nipigie 0744 638063.
Mkuu, kutoka shamba lilipo mpaka Saadani ni umbali gani?. Je maeneo hayo ndio yale ambayo wanyama wa Saadani tembo, fisi na wenzao huwa wanavuka kula vitu kwenye mashamba?.
 
Mkuu, kutoka shamba lilipo mpaka Saadani ni umbali gani?. Je maeneo hayo ndio yale ambayo wanyama wa Saadani tembo, fisi na wenzao huwa wanavuka kula vitu kwenye mashamba?.
Zaidi ya kilometers 100
 
Mkuu huko makurunge naskia Serikali ya Zanzibar Wana eneo lao tangu 1978 ....na watu wameshauziwa maeneo yao ...
Huu ukanda wa bagamoyo unahitaji umakini sana kabla ya kununua ardhi
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom