B51
JF-Expert Member
- Jan 1, 2019
- 569
- 781
Habari zenu wadau.
Nauza shamba lenye ukubwa wa heka 5. Shamba lipo Bagamoyo maeneo ya makurunge, Kama unatoka Dar kupitia bunju ukifika pale kwenye mzunguko (round about) ya kuingia mji wa bagamoyo Makurunge ipo kilometre 8 kuanzia pale kama unaelekea msata.
Ukiwa unapita njia hiyo ya Bagamoyo
msata ukifika sehem kwenye njia panda ya kwenda Saadani National Park, hapo ndio Makurunge.
Ukifika pale ni mwendo wa chini ya dakika 5 kwa pikipiki kufika shamba lilipo.
Shamba ni lakwangu halina udalali na nilishawapeleka watu wa ardhi wilaya Bagamoyo kwaajili ya kulipima ili kuendelea na mchakato wa kulipatia hati.
Hivyo shamba tayari lina mchoro .
Shamba ni Safi nimelisafisha lote ila sijapanda chochote.
Naliuza lote heka 5 kwa 4.5ML (million nne na laki tano). Kwa maelezo zaidi nipigie 0716 453 548..
Nauza shamba lenye ukubwa wa heka 5. Shamba lipo Bagamoyo maeneo ya makurunge, Kama unatoka Dar kupitia bunju ukifika pale kwenye mzunguko (round about) ya kuingia mji wa bagamoyo Makurunge ipo kilometre 8 kuanzia pale kama unaelekea msata.
Ukiwa unapita njia hiyo ya Bagamoyo
msata ukifika sehem kwenye njia panda ya kwenda Saadani National Park, hapo ndio Makurunge.
Ukifika pale ni mwendo wa chini ya dakika 5 kwa pikipiki kufika shamba lilipo.
Shamba ni lakwangu halina udalali na nilishawapeleka watu wa ardhi wilaya Bagamoyo kwaajili ya kulipima ili kuendelea na mchakato wa kulipatia hati.
Hivyo shamba tayari lina mchoro .
Shamba ni Safi nimelisafisha lote ila sijapanda chochote.
Naliuza lote heka 5 kwa 4.5ML (million nne na laki tano). Kwa maelezo zaidi nipigie 0716 453 548..