Shamba linauzwa

Shamba linauzwa

Qualifier

JF-Expert Member
Joined
Dec 14, 2012
Posts
1,252
Reaction score
407
Shamba linauzwa liko kijiji cha Msowero wilaya ya Kilosa mkoa wa Morogoro, linaukbwa wa ekari 47.8 limeshapimwa na linahati. kuna nyumba na barabara shamba linafaa sana kwa kilimo cha umwagiliaji liko kandokando mwa mto msowero. mazao yanayo zalishwa ni rahisi kuyafikisha kariakoo ni masaa 4 manne kutoka shambani mpaka kariakoo ukiondoa foleni. na ni masaa 2.30 kutoka shambani mpaka Dodoma. kwa mwenye kuhitaji tukutane inbox
 
Shamba linauzwa liko kijiji cha Msowero wilaya ya Kilosa mkoa wa Morogoro, linaukbwa wa ekari 47.8 limeshapimwa na linahati. kuna nyumba na barabara shamba linafaa sana kwa kilimo cha umwagiliaji liko kandokando mwa mto msowero. mazao yanayo zalishwa ni rahisi kuyafikisha kariakoo ni masaa 4 manne kutoka shambani mpaka kariakoo ukiondoa foleni. na ni masaa 2.30 kutoka shambani mpaka Dodoma. kwa mwenye kuhitaji tukutane inbox
Kwetu Ruhembe, nataka shamba hapo msowero. Bei mkuu??
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom