tony92
JF-Expert Member
- Jul 17, 2013
- 2,391
- 3,660
Huko panani faa sanaHuo ni mtoView attachment 1958901
Ntakutafuta mkuu
Huko panani faa sanaHuo ni mtoView attachment 1958901
Sawa mkuuHuko panani faa sana
Ntakutafuta mkuu
njoo kule kisarawe kwa Nikki wa2 nikupe kiwanja SQM 3600 kimepimwa saaf kabisa unipe Shanna iloShamba lipo kijiji Cha Mfriga
Ktk tarafa ya lupembe,wilayani njombe
Lina ukubwa wa eka 100
Kunafaa kwa kilimo cha parachichi na miti ya mbao
Bei ya kila eka moja ni TSH 200,000/=
Kuna mto karibu na barabara imefika Hadi shambani
Kwa mawasiliano zaidi nipigie 0742188846 au 0784340024
Nina shida ya fedha mkuunjoo kule kisarawe kwa Nikki wa2 nikupe kiwanja SQM 3600 kimepimwa saaf kabisa unipe Shanna ilo
Lipo karibu na mtoLinaonekana liko poa
Lipo karibu na maji ya mto, kisima,bwawa au ziwa? Hakuna picha ya hiko chanzo cha maji?
HapanaNaruhusiwa kutoa kwa awamu 3?
Lina hatiShamba unalouzwa lina documents gani? Mfano hati Miliki. Usije ukauzia watu kesi kwa milioni kumi.
Watakuja mkuu,mbona unauza mali shida nini mkuu!?Lina hati
Sio lazima sana kueleza shida humu ukitaka kujua zaidi piga simu, unataka kujua shida humu je Kama nataka kulipa madeni nieleze hapaWatakuja mkuu,mbona unauza mali shida nini mkuu!?
WSio lazima sana kueleza shida humu ukitaka kujua zaidi piga simu, unataka kujua shida humu je Kama nataka kulipa madeni nieleze hapa
KaribuMwakani lazima nije kuchukua kijiji huko.
Napenda sana kilimo.