Mrbwire
JF-Expert Member
- Aug 10, 2009
- 200
- 51
Shamba lenye ukubwa wa ekari tatu linauzwa. Shamba liko kigamboni (kati ya km 17 - 18 baada ya kuvuka). Ni nje ya eneo lililotengwa kwa ajili ya uendelezaje wa mji wa kigamboni.
Ni eneo zuri kwa ajili ya makazi, ufugaji godown na pia shule. Bei ni Tsh. Milioni nane (8 Mil.)
Pia kuna viwanja viwili vyenye ukubwa wa robo ekari. Kila kimoja ni Tsh. 2 Mil.
Maeneo yote yanafikika kwa gari.
Ni eneo zuri kwa ajili ya makazi, ufugaji godown na pia shule. Bei ni Tsh. Milioni nane (8 Mil.)
Pia kuna viwanja viwili vyenye ukubwa wa robo ekari. Kila kimoja ni Tsh. 2 Mil.
Maeneo yote yanafikika kwa gari.
Last edited: