Plot4Rent Shamba la miti linauzwa Njombe

Plot4Rent Shamba la miti linauzwa Njombe

Chaula_J

Member
Joined
Jul 23, 2022
Posts
6
Reaction score
7
Habari ndugu,
KUNA SHAMBA LA MITI AINA YA MIPAINA LINAUZWA,
Shamba lipo mkoa wa Njombe, wilaya ya Njombe mjini, kata ya Kifanya, kijiji cha Lilombwi.

Lina ukubwa wa ekari 20, na kila ekari inauzwa kwa shilingi 1,200,000/=.

Unaweza kununua kuanzia ekari tano.

Miti ina muda wa miaka minne tangu kupandwa.

KWA MAWASILIANO ZAIDI:
0758603895
0628998258
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom