Mbona Bei iko juu sana mkuuKaribuni mjipatie Shamba la eka saba kwa bei nafuu ya shilingi milioni 25. Shamba liko umbalinwa kilomita mbili na nusu kutoka barabara ya lami ya Dqr Morogoro. Shamba linafaa kwa ufugaji wa kuku, mbuzi, bata na mifugo mingine. Karibuni sana
Mku ukiuza kwa kukatakata vipande vipande utaliuza.
Hata mm ni mwitaji kwani kwa amount hiyo siiwezi.
Utanijulisha kama uko tayari kwa hayo maoni ili tufanye biashara
Karibu sana mkuu. Hata ukitaka kwa eka moja moja mi niko tayariMku ukiuza kwa kukatakata vipande vipande utaliuza.
Hata mm ni mwitaji kwani kwa amount hiyo siiwezi.
Utanijulisha kama uko tayari kwa hayo maoni ili tufanye biashara
Huyo dalali..ukitaka mashamba huko..amka nenda moja kwa moja huko..fika ofisi ya kijiji ama mwenyekiti wa kijiji..utapata info z an kutohsa na utanunu mashamba kutoka kwa wanakijiji wenyewe tena bei rahisi sana.
Hahahaha...mimi siyo dalali mkuu. Ni mmiliki wa shamba kabisa. Njoo tuzungumze. Shamba liko kilomita 2.5 kutoka barabara ya lami. Ukiliona utafurahi mwenyeweHuyo dalali..ukitaka mashamba huko..amka nenda moja kwa moja huko..fika ofisi ya kijiji ama mwenyekiti wa kijiji..utapata info z an kutohsa na utanunu mashamba kutoka kwa wanakijiji wenyewe tena bei rahisi sana.
Juzi nilikuwa huko watu wanauza heka kwa 1m na maongezi yapo..huyo jamaa ni dalali anataka awapige wajinga.
#MaendeleoHayanaChama
Nimetoka vigwaza leo Bei ya Heka ni 1m ...kijiji cha visezi ...8km kutoka morogoro roadHuyo dalali..ukitaka mashamba huko..amka nenda moja kwa moja huko..fika ofisi ya kijiji ama mwenyekiti wa kijiji..utapata info z an kutohsa na utanunu mashamba kutoka kwa wanakijiji wenyewe tena bei rahisi sana.
Juzi nilikuwa huko watu wanauza heka kwa 1m na maongezi yapo..huyo jamaa ni dalali anataka awapige wajinga.
#MaendeleoHayanaChama
Mkuu tena umefanya vizuri kwenda. Shamba langu liko kilomita 2.5 kutoka barabara ya lami. Huoni kama hiyo bei yangu iko vizuri?Nimetoka vigwaza leo Bei ya Heka ni 1m ...kijiji cha visezi ...8km kutoka morogoro road
Sent using Jamii Forums mobile app
Buyuni ipo Kijiji kipi. Ni Km ngapi toka mizani?Km ngapi toka barabara ya kwenda Kwala??Kwa km 2 Kama Ni upande wa kwenda bandari kavu bei hizo ndo za sasa,Kama Ni upande wa buyuni zipo,laki 8 kwa ekari
Mkuu mwaga namba ya mtu wa kuwasiliana nae huko pleaseNimetoka vigwaza leo Bei ya Heka ni 1m ...kijiji cha visezi ...8km kutoka morogoro road
Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu ningekushauri ukifika kule jitahidi sana ukutane na wenyeji coz kutokana na ujio wa Bandari kavu Mashamba na viwanja vinauzwa kwa kasi sana ...Na tayari kuna maeneo inasemekana yanauzwa mara mbili ..so kuwa makini sana .... usije ukatapeliwaMkuu mwaga namba ya mtu wa kuwasiliana nae huko please
Kwa Ekari moja unauzaje?Karibu sana mkuu. Hata ukitaka kwa eka moja moja mi niko tayari