Kahtan Ahmed
JF-Expert Member
- Aug 24, 2011
- 765
- 490
Habari, Shamba lenye ukubwa wa heka 30 lenye full document linauzwa katika mkoa wa mtwara wilaya ya masasi katika kijiji cha nawaje mtaa wa chimbo, shamba limepakana na mto pembeni unaoitwa mto mbangara , ni kilometer 10 kutoka barabara kuu. kwa maelezo zaidi na mahitaji nione kwa namba ya simu 0712212220.