Baada ya kusoma kwa siku kadhaa sasa nimeingia rasmi JF ila uchunguzi wangu umebaini kuwa kuna memba hawaielewi hii forum au kwa makusudi hawataki kuielewa, HESHIMU MAWAZO YA MWENZAKO KOSOA BILA KUTUKANA , SINA HAKIKA KUWA HII NI FORUM YA CHAMA CHOCHOTE CHA SIASA, DINI FULANI, KANDA, KABILA NK. nawashauri member ambao wanataka kuipa hii forum chama au dini fulani waache mara Moja!