Rumours ni kwamba jamaa ni shoga, huenda hiyo ni cover-up tu kuficha niniliu..how come a-date hicho kibibi 10 years difference..hata hivo mwisho wa siku kila mtu aachwe tu a-do him or her.
Of course hata mimi if i'm looking to get laid in regular basis, ishu ya age inakuja baada ya kiu kuniisha..ni hayo tu mwana.Wenzetu age doesn't matter think of Mariah Carey na Nick Canon nao ni 10 years difference ila maisha bado yanakwenda tu.
WEWEEEEEE acha uoooooooooooo
Ni kweli huyu amezeeka zaidiUmeona sio shakira huyo :A S-key: