Kwann aondolewe? Viatu vilipwaya ama vilibana?Kaa tayari bila shaka atapewa cheo serikalini hivi karibuni
SpeculationAnaenda kuwa rc huyo au mbunge na waziri wa muungano, time will tell.
So, in short Shaka was incompetentAlichofanyiwa shaka ndicha alichofanyiwa Mchengerwa!
Protection!
Kuwalimda DHIDI ya madhara ya nafasi walizoshika kunapotokea shambulizi!
Mikutano ya hadhara inaenda ku expose competence yake!
Atafichwa kwenye nafasi tulivu kama mchengerwa!
Alikuwa competent kwa wakati ule kabla ya maridhiano na mikutano ya SIASA!So, in short Shaka was incompetent
Cheo ni dhamana. (Ahadi ya tano ya Mwana TANU sasa CCM).# Tuache maneno mengi.🙏🙏🙏Alichofanyiwa shaka ndicha alichofanyiwa Mchengerwa!
Protection!
Kuwalimda DHIDI ya madhara ya nafasi walizoshika kunapotokea shambulizi!
Mikutano ya hadhara inaenda ku expose competence yake!
Atafichwa kwenye nafasi tulivu kama mchengerwa!
Matamko ya kijinga niliju hatokatiza....Shaka alikuwa kishaanza kuimudu kazi ya uenezi. Lakini ghafla bin vuu tunaona anaondoshwa kunako kiti cha uenezi.
Tunajiuliza kaboronga ama kagusa maslahi ya wenye nchi?
Taarifa zinasema dogo alisimamishwa kazi siku nyingi.Alizuiliwa kuongelea habari za mikutqno kuruhusiwaShaka alikuwa kishaanza kuimudu kazi ya uenezi. Lakini ghafla bin vuu tunaona anaondoshwa kunako kiti cha uenezi.
Tunajiuliza kaboronga ama kagusa maslahi ya wenye nchi?
Wow! Kumbe Shaka alikuwa kichomi kwenye suala la maridhiano????!!!Taarifa zinasema dogo alisimamishwa kazi siku nyingi.Alizuiliwa kuongelea habari za mikutqno kuruhusiwa