ISRAEL JR
JF-Expert Member
- Feb 1, 2013
- 1,439
- 631
Mkuu kwema?UTAWALA ULIOFELI
Chama cha wenye chama
Mkuu kwema?UTAWALA ULIOFELI
Chama cha wenye chama
Kaziiendelee kwa kasi zaidi Tanzania"Kama Katiba ingeruhusu Mhe Samia Suluhu Hassan hakupashwa kuwa Rais wa mihula miwuli pekee,
Huyu Mama walau kwa Uchache angestahili miaka walau 15 "
Mkuu upo?Ahsante Kwa taarifa...
Nakuunga mkono 100%Hakika kama mambo yataendelea kuwa hivi Rais Samia Suluhu Hassan atashinda Uchaguzi Huru na Haki wa 2025 kwa zaidi ya 76%
Unayohoja aiseSekta binafsi ni wapigaji inatakiwa kazi zipelekwe kwenye majeshi yetu. kule ndio kuna wataalamu wengi wazalendo 🐒
NdioHuyu Mwamba anajitahidi sana,Tunawapingeza wote,
Nape,
Polepole
Shaka
Tujifunze kutoa taarifa sahihi. Ni kweli katibu mwenezi katamka hivyo lakini hiyo kauli ni ya ccm na wala siyo yake. Kwamba ccm kimesema ... na hayo yamesemwa na mwenezi n.k.Hakika Chama Cha Mapinduzi kina hazina ya viiongozi mahiri na hodari sana ndani na nje ya Tanzania,
Toka enzi za Mhe Nape Nauye, Humphrey Polepole na Sasa Shaka Hamdu Shaka hakika wenezi hawa
wanakitendea|walikitendea haki Chama cha Mapinduzi na Taifa kwa ujumla wake,
HEBU SIKILIZA NA ANGALIA JINSI KATIBU WA NEC ITIKADI & UENEZI SHAKA HAMDU SHAKA ALIVYOFAFANUA KUHUSU UTAYARI WA SERIKALI YA CCM INAYOONGOZWA NA RAIS SAMIA SULUHU HASSAN KATIKA KUONDOA VIKWAZO VINAVYOKWAMISHA UFANISI WA SEKTA BINAFSI NCHINI.
>>>Msikilize hata mwisho <<<
View attachment 2030450
Bila CCM nchi hii itayumba na kuanguka kabisaHakika Chama Cha Mapinduzi kina hazina ya viiongozi mahiri na hodari sana ndani na nje ya Tanzania,
Toka enzi za Mhe Nape Nauye, Humphrey Polepole na Sasa Shaka Hamdu Shaka hakika wenezi hawa
wanakitendea|walikitendea haki Chama cha Mapinduzi na Taifa kwa ujumla wake,
HEBU SIKILIZA NA ANGALIA JINSI KATIBU WA NEC ITIKADI & UENEZI SHAKA HAMDU SHAKA ALIVYOFAFANUA KUHUSU UTAYARI WA SERIKALI YA CCM INAYOONGOZWA NA RAIS SAMIA SULUHU HASSAN KATIKA KUONDOA VIKWAZO VINAVYOKWAMISHA UFANISI WA SEKTA BINAFSI NCHINI.
>>>Msikilize hata mwisho <<<
View attachment 2030450
Mtu na nusu,Hakika Chama Cha Mapinduzi kina hazina ya viiongozi mahiri na hodari sana ndani na nje ya Tanzania,
Toka enzi za Mhe Nape Nauye, Humphrey Polepole na Sasa Shaka Hamdu Shaka hakika wenezi hawa
wanakitendea|walikitendea haki Chama cha Mapinduzi na Taifa kwa ujumla wake,
HEBU SIKILIZA NA ANGALIA JINSI KATIBU WA NEC ITIKADI & UENEZI SHAKA HAMDU SHAKA ALIVYOFAFANUA KUHUSU UTAYARI WA SERIKALI YA CCM INAYOONGOZWA NA RAIS SAMIA SULUHU HASSAN KATIKA KUONDOA VIKWAZO VINAVYOKWAMISHA UFANISI WA SEKTA BINAFSI NCHINI.
>>>Msikilize hata mwisho <<<
View attachment 2030450
NaamHakika Chama Cha Mapinduzi kina hazina ya viiongozi mahiri na hodari sana ndani na nje ya Tanzania,
Toka enzi za Mhe Nape Nauye, Humphrey Polepole na Sasa Shaka Hamdu Shaka hakika wenezi hawa
wanakitendea|walikitendea haki Chama cha Mapinduzi na Taifa kwa ujumla wake,
HEBU SIKILIZA NA ANGALIA JINSI KATIBU WA NEC ITIKADI & UENEZI SHAKA HAMDU SHAKA ALIVYOFAFANUA KUHUSU UTAYARI WA SERIKALI YA CCM INAYOONGOZWA NA RAIS SAMIA SULUHU HASSAN KATIKA KUONDOA VIKWAZO VINAVYOKWAMISHA UFANISI WA SEKTA BINAFSI NCHINI.
>>>Msikilize hata mwisho <<<
View attachment 2030450
😍Bila CCM nchi hii itayumba na kuanguka kabisa