Tindo
JF-Expert Member
- Sep 28, 2011
- 58,984
- 103,357
Nani atapoteza bundle yake kusikiliza utapeli wa kijinga?
ika Chama Cha Mapinduzi kina hazina ya viiongozi mahiri na hodari sana ndani na nje ya Tanzania,
Toka enzi za Mhe Nape Nauye, Humphrey Polepole na Sasa Shaka Hamdu Shaka hakika wenezi hawa
wanakitendea|walikitendea haki Chama cha Mapinduzi na Taifa kwa ujumla wake,
HEBU SIKILIZA NA ANGALIA JINSI KATIBU WA NEC ITIKADI & UENEZI SHAKA HAMDU SHAKA ALIVYOFAFANUA KUHUSU UTAYARI WA SERIKALI YA CCM INAYOONGOZWA NA RAIS SAMIA SULUHU HASSAN KATIKA KUONDOA VIKWAZO VINAVYOKWAMISHA UFANISI WA SEKTA BINAFSI NCHINI.
>>>Msikilize hata mwisho <<<
View attachment 2030450