Shaka Hamdu Shaka atoa mwelekeo mpya wa Chama Cha Mapinduzi sekta binfsi nchini

Nani atapoteza bundle yake kusikiliza utapeli wa kijinga?
ika Chama Cha Mapinduzi kina hazina ya viiongozi mahiri na hodari sana ndani na nje ya Tanzania,

Toka enzi za Mhe Nape Nauye, Humphrey Polepole na Sasa Shaka Hamdu Shaka hakika wenezi hawa
wanakitendea|walikitendea haki Chama cha Mapinduzi na Taifa kwa ujumla wake,

HEBU SIKILIZA NA ANGALIA JINSI KATIBU WA NEC ITIKADI & UENEZI SHAKA HAMDU SHAKA ALIVYOFAFANUA KUHUSU UTAYARI WA SERIKALI YA CCM INAYOONGOZWA NA RAIS SAMIA SULUHU HASSAN KATIKA KUONDOA VIKWAZO VINAVYOKWAMISHA UFANISI WA SEKTA BINAFSI NCHINI.


>>>Msikilize hata mwisho <<<

View attachment 2030450
 
Chief,hili la upandaji mafuta ni la Dunia mzima ukiondoa nchi zinazozalisha. Hata Marekani imeachia pipa milioni 50 ili kupunguza makali ya bei. Nchi za Ulaya pia zimefuata mkondo huo. Jenga mazoea ya kutafuta habari na taarifa mbalimbali Ulimwenguni. Sio kila kitu kulalamika.

Tukirejea kwenye mada, CCM imepata kijana mwenye busara, ingawa amewekwa na kina Pole pole,mie naamini uwezo na uelewa wake wa Chama ni mkubwa tofauti na Polepole ambaye hakuwahi kuwa hata Mwenyekiti wa tawi.
Usidanganye watu. Bei kubwa ya dizeli Tanzania, kwa kiasi kikubwa inasababishwa na kodi zinatozwa na serikali na taasisi zake.

Karibia 50% ya pesa unayolipa kwa kila lita ya mafuta (dizeli na petroli) inaenda serikalini na kwa taasisi zake, kama kodi. Leo hii serikali ingeondoa kodi zote kwenye mafuta, bei ingekuwa nusu ya hiyo unayoiona. Kama serikali ingrlekuwa na watu wenye weledi, angalao kodi kwenye mafuta ingeshushwa mpaka 25? Unafuu kwenye mafuta ungeleta faida kubwa kuliko kodi ambazo serikali inazikusanya moja kwa moja kutoka kwenye mauzo ya mafuta. Kwa kuwa serikalini wamekosekana watu wenye weledi, tunaishia kuweka kodi nyingi na kubwa kwenye nishati bila kutambua kwa kufanya hivyo tunaua maendeleo ya sekta zote.
 
Hakika Chama Cha Mapinduzi kina hazina ya viiongozi mahiri na hodari sana ndani na nje ya Tanzania,

Toka enzi za Mhe Nape Nauye, Humphrey Polepole na Sasa Shaka Hamdu Shaka hakika wenezi hawa
wanakitendea|walikitendea haki Chama cha Mapinduzi na Taifa kwa ujumla wake,

HEBU SIKILIZA NA ANGALIA JINSI KATIBU WA NEC ITIKADI & UENEZI SHAKA HAMDU SHAKA ALIVYOFAFANUA KUHUSU UTAYARI WA SERIKALI YA CCM INAYOONGOZWA NA RAIS SAMIA SULUHU HASSAN KATIKA KUONDOA VIKWAZO VINAVYOKWAMISHA UFANISI WA SEKTA BINAFSI NCHINI.


>>>Msikilize hata mwisho <<<

View attachment 2030450
Ni muda wake kusifiwa ili mpate teuzi siku utawala ukibadilika mtakuja na nyuzi za kumponda katibu wa itikadi na uenezi
 
Usidanganye watu. Bei kubwa ya dizeli Tanzania, kwa kiasi kikubwa inasababishwa na kodi zinatozwa na serikali na taasisi zake.

Karibia 50% ya pesa unayolipa kwa kila lita ya mafuta (dizeli na petroli) inaenda serikalini na kwa taasisi zake, kama kodi. Leo hii serikali ingeondoa kodi zote kwenye mafuta, bei ingekuwa nusu ya hiyo unayoiona. Kama serikali ingrlekuwa na watu wenye weledi, angalao kodi kwenye mafuta ingeshushwa mpaka 25? Unafuu kwenye mafuta ungeleta faida kubwa kuliko kodi ambazo serikali inazikusanya moja kwa moja kutoka kwenye mauzo ya mafuta. Kwa kuwa serikalini wamekosekana watu wenye weledi, tunaishia kuweka kodi nyingi na kubwa kwenye nishati bila kutambua kwa kufanya hivyo tunaua maendeleo ya sekta zote.
Halafu dawa tunanunua kwa pesa zipi kwa mfano?,,
Mafuta yamepanda bei dunia nzima, mpaka US wametoa akiba yao kujaribu kufloat soko, baada ya waarabu kugoma kuongeza uzalishaji
 
Hakika Chama Cha Mapinduzi kina hazina ya viiongozi mahiri na hodari sana ndani na nje ya Tanzania,

Toka enzi za Mhe Nape Nauye, Humphrey Polepole na Sasa Shaka Hamdu Shaka hakika wenezi hawa
wanakitendea|walikitendea haki Chama cha Mapinduzi na Taifa kwa ujumla wake,

HEBU SIKILIZA NA ANGALIA JINSI KATIBU WA NEC ITIKADI & UENEZI SHAKA HAMDU SHAKA ALIVYOFAFANUA KUHUSU UTAYARI WA SERIKALI YA CCM INAYOONGOZWA NA RAIS SAMIA SULUHU HASSAN KATIKA KUONDOA VIKWAZO VINAVYOKWAMISHA UFANISI WA SEKTA BINAFSI NCHINI.


>>>Msikilize hata mwisho <<<

View attachment 2030450
Kaziiendelee kwa kasi zaidi
 
Hakika Chama Cha Mapinduzi kina hazina ya viiongozi mahiri na hodari sana ndani na nje ya Tanzania,

Toka enzi za Mhe Nape Nauye, Humphrey Polepole na Sasa Shaka Hamdu Shaka hakika wenezi hawa
wanakitendea|walikitendea haki Chama cha Mapinduzi na Taifa kwa ujumla wake,

HEBU SIKILIZA NA ANGALIA JINSI KATIBU WA NEC ITIKADI & UENEZI SHAKA HAMDU SHAKA ALIVYOFAFANUA KUHUSU UTAYARI WA SERIKALI YA CCM INAYOONGOZWA NA RAIS SAMIA SULUHU HASSAN KATIKA KUONDOA VIKWAZO VINAVYOKWAMISHA UFANISI WA SEKTA BINAFSI NCHINI.


>>>Msikilize hata mwisho <<<

View attachment 2030450
Kaziiendelee kwa kasi zote
 
Chief,hili la upandaji mafuta ni la Dunia mzima ukiondoa nchi zinazozalisha. Hata Marekani imeachia pipa milioni 50 ili kupunguza makali ya bei. Nchi za Ulaya pia zimefuata mkondo huo. Jenga mazoea ya kutafuta habari na taarifa mbalimbali Ulimwenguni. Sio kila kitu kulalamika.

Tukirejea kwenye mada, CCM imepata kijana mwenye busara, ingawa amewekwa na kina Pole pole,mie naamini uwezo na uelewa wake wa Chama ni mkubwa tofauti na Polepole ambaye hakuwahi kuwa hata Mwenyekiti wa tawi.
Wewe jamaa unakuwaga vizuri sana
 
Hakika Chama Cha Mapinduzi kina hazina ya viiongozi mahiri na hodari sana ndani na nje ya Tanzania,

Toka enzi za Mhe Nape Nauye, Humphrey Polepole na Sasa Shaka Hamdu Shaka hakika wenezi hawa
wanakitendea|walikitendea haki Chama cha Mapinduzi na Taifa kwa ujumla wake,

HEBU SIKILIZA NA ANGALIA JINSI KATIBU WA NEC ITIKADI & UENEZI SHAKA HAMDU SHAKA ALIVYOFAFANUA KUHUSU UTAYARI WA SERIKALI YA CCM INAYOONGOZWA NA RAIS SAMIA SULUHU HASSAN KATIKA KUONDOA VIKWAZO VINAVYOKWAMISHA UFANISI WA SEKTA BINAFSI NCHINI.


>>>Msikilize hata mwisho <<<

View attachment 2030450
😍
 
Komredi Shaka Hamdu Shaka ni HAZINA ya taifa letu......

Tuko naye leo kesho na siku za usoni💪
 
Back
Top Bottom