Shairi; Mwataka cheti cha nini ?

Idd Ninga

JF-Expert Member
Nov 18, 2012
5,136
4,292
CHETI MWATAKA CHA NINI

1)Ingelikuwa elimu,iwekwe karatasini.
Ingelikuwa si ngumu,watu shindwa maishani.
Ingelikuwa ni sumu,ung'atwapo unyayoni. mwataka cheti cha nini,ndicho kifanyacho kazi ?

2)ingelikuwa ni cheti,chafanya kuwa imara.
Ingelikuwa bahati,wala siyo masikhara.
Isingetia vidoti,na kuharibu taswira.
mwataka cheti cha nini,ndicho kifanyacho kazi ?.

3)ingelikuwa uwezo, unapimwa wa shuleni.
Ingekuwa hamnazo,wameishia shimoni.
Ingekuwa si katazo,sote tuvijaze ndani.
Mwataka cheti cha nini,ndicho kifanyacho kazi.

4)ingelikuwa si unga,hivi mngesema nini.
Ingekuwa kujidunga,kuna tija duniani.
Ingekuwa ni mpunga,upikwao baharini.
Cheti mwataka cha nini,ndicho kifanyacho kazi ?

Shairi=CHETI MWATAKA CHA NINI ?.
Mtunzi=Idd Ninga wa Tengeru Arumeru.
+255624010160
iddyallyninga@gmail.com
 
CHETI MWATAKA CHA NINI

1)Ingelikuwa elimu,iwekwe karatasini.
Ingelikuwa si ngumu,watu shindwa maishani.
Ingelikuwa ni sumu,ung'atwapo unyayoni. mwataka cheti cha nini,ndicho kifanyacho kazi ?

2)ingelikuwa ni cheti,chafanya kuwa imara.
Ingelikuwa bahati,wala siyo masikhara.
Isingetia vidoti,na kuharibu taswira.
mwataka cheti cha nini,ndicho kifanyacho kazi ?.

3)ingelikuwa uwezo, unapimwa wa shuleni.
Ingekuwa hamnazo,wameishia shimoni.
Ingekuwa si katazo,sote tuvijaze ndani.
Mwataka cheti cha nini,ndicho kifanyacho kazi.

4)ingelikuwa si unga,hivi mngesema nini.
Ingekuwa kujidunga,kuna tija duniani.
Ingekuwa ni mpunga,upikwao baharini.
Cheti mwataka cha nini,ndicho kifanyacho kazi ?

Shairi=CHETI MWATAKA CHA NINI ?.
Mtunzi=Idd Ninga wa Tengeru Arumeru.
+255624010160
iddyallyninga@gmail.com
Hata kuandika hujui
 
tunataka cheti sababu maamuzi yanayotokana na kazi anazozifanya ni ya hovyo! tunataka kuhakikisha kama kweli Elimu aliyoipata ndio imepelekea kutoa maamuzi ya kijinga kama aliyoyatoa
 

Similar Discussions

1 Reactions
Reply
Back
Top Bottom