FM facts
Member
- Mar 16, 2019
- 45
- 88
Tomino’s Hell ni Shairi Ambalo Unaambiwa Hutakiwi Kusoma Kwa Sauti!, Soma Kimya Kimya na inaelezwa Ukisoma Kwa Sauti Shairi hili Kuna Mawili, Either Utakufa au Utapambana na Mauzauza Katika Maisha Yako!. .
.
Shairi Hili Liliandikwa Mwaka 1919 na Mwandishi "Saijou Yaso" Raia wa Japan na Wakati Anaandika Shairi hili Alikua na Umri wa Miaka 26 tuu, Inaelezwa pia Mtu Huyu Hakuwa Mtu wa Kawaida. .
.
'Saijou Yaso' Alikua Mwandishi wa Mashairi Kutoka Nchini JAPAN, Alizaliwa January 15, 1892 Huko Tokyo Japan na Kufariki August 12, 1970.
Shairi Hili Linamhusu Mtu Mmoja Anaeitwa 'Tomino' na Tomino Alikua Anasafiri Kwenda KUZIMU!. Mwaka 1974 Muongozaji wa Movie 'Terayama Shuji' Alitaka Kutengenezea Movie Shairi hili, Ajabu ni Kwamba ALIKUFA!. Movie yake Iliitwa (To Die in the Countryside). .
.
Je Kwanini Shairi Hili Linatisha? Kwanini Lazima Usome Kimya Kimya? na Je Huyu TOMINO ni Nani?
Kuna Story Nyingi sana Kuhusu Mtu Huyu 'Tomino' Aliyeandikwa Katika Shairi Hili Lakini Samahani sana Nimeshindwa Kuendelea Kuiandika #Fact Hii Kwasababu Nimeanza Kuhisi Hali Tofauti Kama Vile Mwili Kusisimka!!!!. .
.
Sikushauri Kabisa Ulitafute Shairi Hili na Hata Ukikutana Nalo Basu Ujue ni Shairi la Aina Gani, na Nimeandika Hapa Ili Ukae Ukijua Sio Kila Kitu ni Cha Kusoma tuu! Usije Ukakutana Nalo Siku Moja Ikawa Hukujua!!. .
.
Written By @fm_facts
Sponsored By @getshoes_Kariakoo HAWA ni Wauzaji wa SENDO mbalimbali Makini kabisa, Wapo Kariakoo Karibu na Msimbazi Police Zinakopaki Noah za Kimara, Mbezi Gorofa la Njano lenye Flame za kijani, Mikoani Mikoani Wanatuma Pia.
WAPIGIE SASAHIVI #0653800843
#tuvituvitu
#JeWajua
#TominoPoem #Japan
#Chombokwahewa
#IloveFacts
#FMfacts
#getshoes_kariakoo
.
Shairi Hili Liliandikwa Mwaka 1919 na Mwandishi "Saijou Yaso" Raia wa Japan na Wakati Anaandika Shairi hili Alikua na Umri wa Miaka 26 tuu, Inaelezwa pia Mtu Huyu Hakuwa Mtu wa Kawaida. .
.
'Saijou Yaso' Alikua Mwandishi wa Mashairi Kutoka Nchini JAPAN, Alizaliwa January 15, 1892 Huko Tokyo Japan na Kufariki August 12, 1970.
Shairi Hili Linamhusu Mtu Mmoja Anaeitwa 'Tomino' na Tomino Alikua Anasafiri Kwenda KUZIMU!. Mwaka 1974 Muongozaji wa Movie 'Terayama Shuji' Alitaka Kutengenezea Movie Shairi hili, Ajabu ni Kwamba ALIKUFA!. Movie yake Iliitwa (To Die in the Countryside). .
.
Je Kwanini Shairi Hili Linatisha? Kwanini Lazima Usome Kimya Kimya? na Je Huyu TOMINO ni Nani?
Kuna Story Nyingi sana Kuhusu Mtu Huyu 'Tomino' Aliyeandikwa Katika Shairi Hili Lakini Samahani sana Nimeshindwa Kuendelea Kuiandika #Fact Hii Kwasababu Nimeanza Kuhisi Hali Tofauti Kama Vile Mwili Kusisimka!!!!. .
.
Sikushauri Kabisa Ulitafute Shairi Hili na Hata Ukikutana Nalo Basu Ujue ni Shairi la Aina Gani, na Nimeandika Hapa Ili Ukae Ukijua Sio Kila Kitu ni Cha Kusoma tuu! Usije Ukakutana Nalo Siku Moja Ikawa Hukujua!!. .
.
Written By @fm_facts
Sponsored By @getshoes_Kariakoo HAWA ni Wauzaji wa SENDO mbalimbali Makini kabisa, Wapo Kariakoo Karibu na Msimbazi Police Zinakopaki Noah za Kimara, Mbezi Gorofa la Njano lenye Flame za kijani, Mikoani Mikoani Wanatuma Pia.
WAPIGIE SASAHIVI #0653800843
#tuvituvitu
#JeWajua
#TominoPoem #Japan
#Chombokwahewa
#IloveFacts
#FMfacts
#getshoes_kariakoo