Mohamed Said
JF-Expert Member
- Nov 2, 2008
- 20,921
- 30,265
BETI TATU ZA JULIUS NYERERE KUOMBOLEZA KIFO CHA SHAABAN ROBERT 1962
Leo asubuhi katika pitapita yangu Maktaba nimekutana na kitabu cha Prof. George Mhina, ''Mwalimu Nyerere na Tanzania," (1980).
Katika kitabu hiki nimekuta shairi, ''Kilio Cha Shaaban Robert,'' lenye beti tatu tu aliloandika Baba wa Taifa Mwalimu Julius Kambarage Nyerere akiomboleza kifo cha Shaaban Robert.
Shairi hili lilichapwa katika gazeti la Ngurumo la tarehe 28 Juni, 1962.
Shaaban Robert
Leo asubuhi katika pitapita yangu Maktaba nimekutana na kitabu cha Prof. George Mhina, ''Mwalimu Nyerere na Tanzania," (1980).
Katika kitabu hiki nimekuta shairi, ''Kilio Cha Shaaban Robert,'' lenye beti tatu tu aliloandika Baba wa Taifa Mwalimu Julius Kambarage Nyerere akiomboleza kifo cha Shaaban Robert.
Shairi hili lilichapwa katika gazeti la Ngurumo la tarehe 28 Juni, 1962.
Shaaban Robert