MKALIKENYA
JF-Expert Member
- Apr 2, 2012
- 1,196
- 486
Madam, kati ya YANGA & SIMBA, ww upo upande gani, ningependa kufahamu tu.
Inaelekea kuna chombo kingine kilicho juu ya FIFA mtujuze sisi ambao hatukijui.
Nilidhani watu wangekuwa wanajadili jinsi Simba itavyopata fedha zake toka Etoile. Na ilikuwaje aende bila kulipwa chochote. Kapombe hivyo hivyo hamna senti tano ya dawa.
Hayo ndio masuala ya kujadili maana uzezeta huu unatokea Tanzania tu
View attachment 139710
Hichi ndicho FIFA walichosema!!
Haahaaaa..nimeipenda hiyo neutral yako! hapo wanao kila mmoja anajihic yupo timu moja na mzazi wake!.Mimi nipo kwa anaeshindwa, akishindwa Simba mimi Simba na akishindwa Yanga mimi Yanga, na nna-sababu maalum ya kufanya hivyo, nayo ni kwa kuwa wanangu kila mmoja anashabikia timu yake na sitaki kuwaudhi. Bora niwe neutral na nimliwaze aliyeshindwa.
Inaelekea haujui ni nani anapinga Okwi asiichezee Yanga... Hivi msingi wa Simba kupinga Okwi asicheze Yanga ni nini hasa? ...
Haahaaaa..nimeipenda hiyo neutral yako! hapo wanao kila mmoja anajihic yupo timu moja na mzazi wake!.
Ila moyo wako kuna sehemu umeelemea zaidi.
Nimekupata!Kusema kweli yote ni sawa kwangu na nahisi bila Simba na Yanga itakuwa boring sana, kila mmoja hawezi kusikia raha akikosekana mmoja wapo. Ni kama watoto nyumbani yule ambae hana mafanikio ndio anaegemewa sana na kuoneshwa mapenzi zaidi na wazazi, unajuwa kwanini>? asijihisi kuwa yeye si lolote si chochote wakati ana role kubwa ya kuwepo kwake.
huyo OKWI na ulingano gani na VAN PERSIE au MESSI?? maana mnatujazia servers humu kwa mtu ambae huko mbele ataishia kucheza timu za daraja la 2 au 3.
wewe unayejua hebu tueleze yanga wamemnunua wapi okwi? i mean wameilipa timu gani pesa ya usajili ya okwi? then jiulize huko walikolipa okwi alikwendaje?je walikuwa na mamlaka ya kumuuza au walikuwa naye kwa mkataba wa muda mfupi? angalieni vizuri na mtafsiri wanachosema FIFA msije mkaumbuka!!!!simba walimuuza okwi et d sahel, yanga wamemnunua kutoka sprtz club villa, swali ni je ni lini eto d sahel walimuuza okwi sportz club villa hadi wapate mamlaka ya kumuuza kwa yanga?fifa wanasema pesa za simba wanazodai hazihusiani na usajili wa mchezaji, but still wameacha hewani ni nani hasa mmiliki halali wa mchezaji anayeweza kumuuza kwenda timu nyingine......mtakuja lia nyie endelezeni siasa bandidu zenu za soka fitinaThead gani hii? anyway UKWELI NI UPI KATIKA ALICHOSEMA? sikiliza kijana; kwa maelezo yake alotoa kwenye web yake hakuna lolote la maana aloongea maana ni gossips tu. UKWELI UTAPATIKANA ENDAPO: 1. AMEMUHOJI OKWI KWA NINI HAYUKO SAHEL NA KUONA VIELELEZO VYAKE. 2. AMEHOJI SAHEL KWA NINI HAWAKO NA OKWI NA WAONYESHE VIELELEZO VYAO. 3. AMEHOJI VILLA WALIMPATAJE OKWI NA VIELELEZO. 4. AMEHOJI YANGA WALIMPATAJE NA VIELELEZO. 5. AMEHOJI TFF WANA VIELELEZO GANI. 6. AHOJI FIFA NA KUONA VIELELEZO WALIVYONAVYO NA KWA NINI WAMETOA ITC. 7. AMEHOJI SIMBA NA KUONA MIKATABA YA MAUZIANO YA OKWI NA 8. AMEHOJI WAKALA WA OKWI KATIKA MZUNGUKO WOTE TOKA SIMBA HADI YANGA. Angefanya hivi halafu akaja na conclusion. Habari yake iko hewani haitoi suluhu,anajaribu kutuletea utumbo wanaotangaza pale kwenye redio yao. bahati mbaya wakikutana na watu wa aina yako unakurupuka eti anaongea ukweli sasa tuonyeshe ukweli ni upi katika alichokisema? Kama kuna angalizo hilo ndo la kufanyiwa kazi siyo habari aliyosema amehoji huyo wa Sahel. ACHENI ULIMBUKENI WA KUAMINI BILA KUTAFAKARI, TUMIENI AKILI MMEPEWA BURE NA MUNGU!
wastage of time nina log-out!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!
wewe unayejua hebu tueleze yanga wamemnunua wapi okwi? i mean wameilipa timu gani pesa ya usajili ya okwi? then jiulize huko walikolipa okwi alikwendaje?je walikuwa na mamlaka ya kumuuza au walikuwa naye kwa mkataba wa muda mfupi? angalieni vizuri na mtafsiri wanachosema FIFA msije mkaumbuka!!!!simba walimuuza okwi et d sahel, yanga wamemnunua kutoka sprtz club villa, swali ni je ni lini eto d sahel walimuuza okwi sportz club villa hadi wapate mamlaka ya kumuuza kwa yanga?fifa wanasema pesa za simba wanazodai hazihusiani na usajili wa mchezaji, but still wameacha hewani ni nani hasa mmiliki halali wa mchezaji anayeweza kumuuza kwenda timu nyingine......mtakuja lia nyie endelezeni siasa bandidu zenu za soka fitina
mtu mwenyewe mtoto wa mama wewe unasubiri ile ya "buluubandi chakula tayariiiiii" basi unakimbilia mezani kuwahi kupakua nyama kubwa kubwa then unakuja kuleta dharau hapa. ingekuwa inawezekana one day tukaambiana humu jukwaani tukutane wengi tungezirai kwa dharau kama hizi. sasa kwa taarifa yako me naweza kuwalisha home kwenu wote kwa miaka zaidi ya kumi yaani nyie kazi yenu mnakula mnaenda toilet tu hakuna kingine nyau weeeeMburura mkubwa wa kutafakari!!!! Nenda kwenye hiyo website ya babaako Shaffih sikiliza mahojiano aliyoyafanya baada ya kumwelekeza uone alivoumbuka. Mpirani kwenyewe huwa hulipi kiingilio unasubiri fungulia dog, halafu unaleta umburura wako kwa wanaume..... get lost, you are wasting my time. i'm logging out!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!