Baada ya tuhuma za rushwa kule Mwanza, ukatangaza kwenye media kama umeamua kujitoa kwenye mchakato wa uchaguzi wa TFF lakini baada ya wapambe wako Mwenyekiti wa DRFA Almasi Kassongo na Mwenyekiti wa Kigoma Msafiri Mgoyi kukwambia usiandike barua ya kujitoa, ukaamua kukaa kimya na kusubiri taarifa ya Takukuru mkiamini utakuwa salama na kuendelea na kampeni zako kimya kimya na sasa Takukuru wameshusha rungu kama wewe na wenzio mnaogombea ujumbe wa kamati ya utendaji akina Lugora, Mwanjala na Majige hamfai kugombea.
Msafiri Mgoyi na Almasi Kassongo wamebeba dhamana ya kuandika rufaa ya wewe urudishwe kwenye mchakato wa uchaguzi kwa mantiki ipi? Mgoyi anataka akutumie kwa manufaa yake lakini uchunguzi wa Takukuru umeshakwisha? Hao wanakulia pesa zako unazopata kwenye Ndondo Cup na mwisho wakumwage! Endelea na rufaa yako lakini ujue huko mbele utalia na kusaga meno utakapopelekwa kwenye kamati ya maadili na kwa taarifa mtizame mwenzio Hassan Hassanoo
Msafiri Mgoyi na Almasi Kassongo wamebeba dhamana ya kuandika rufaa ya wewe urudishwe kwenye mchakato wa uchaguzi kwa mantiki ipi? Mgoyi anataka akutumie kwa manufaa yake lakini uchunguzi wa Takukuru umeshakwisha? Hao wanakulia pesa zako unazopata kwenye Ndondo Cup na mwisho wakumwage! Endelea na rufaa yako lakini ujue huko mbele utalia na kusaga meno utakapopelekwa kwenye kamati ya maadili na kwa taarifa mtizame mwenzio Hassan Hassanoo