Huyu hamna kitu. Anafuata upepo, anajifanya kulinganisha kila kitu cha hapa bongo upande wa mpira na ulaya bila kuangalia uhalisia. Ni fisi kabisa huyu. Sijui nani kampendelea kuwa mchambuzi wa soka. Nilimsikiliza jana na pia huwa nasikiliza clouds kama komedi tuu. Wote wanaokuwa pale isipokuwa yule mwenzao sijui Kibwana angalau anajitahidi, hatumii common sense, mi huwa naangalia show yao kama komedi tu. Luambano na shaffih ni kuponda tuu, wanatumia kupindi chote kuongea umbea. Si ajabu alipigwaga chini TFF.
Shaffih anaweza kuwa yuko sahihi kwa huyu manyika jr,sbb hakuna foward wa Yanga walichokifanya siku ile,huyo sijui hata km alipiga shuti hata moja!
Duh, huyu jamaa ni mbishi tu..hana uchambuzi makini kabisa..yeye amekalia ubishi cku zote! Kuna kijana alikuwa naitwa Jeffy Leah, alikuwa hatari kwenye uchambuzi....anafanya comparative Analysis anajua historia, anafuatilia michezo yote! Huyu Dauda, hana lolote, nadhani apewe kazi ingine sio hii ya uchambuzi wa soka!
Roho za majungu
Roho za fitna
Roho za umbea
ndizo zilozo wajaa,DAUDA anatoa uchambuzi kwa mtazamo wake kwani amekulazimisha uamini kile unachoamini wewe?
HATA mimi naweza kumchambua C.Ronaldo na nikakuambia hana kikubwa sana ila mabeki wanaomkaba ndo wazembe.
Nashindwa kumwelewa huyu shaffi dauda amekuwa na tabia ya kubeza tu na kushadidia vya nje bila ya kuwa na ulinganifu na kwa kuwa amepewa forum ya kusema tu anaitumia vibaya sana kukandia wengine bila sababu mfano jana akiwa clouds tv alikataa kutambua uwezo wa kipekee alioonyesha Manjyika Jr kwa kudai ndio wajibu wake hapo hapo anamsiru Nyiyonzima na Twite kwa kiwango bora kwa wanga na mkude. Ana sahau hata man u juzi tu de gear aliibuka man of the match na everton na kuingizwa top eleven ya week kwa kuokoa michomo mikali na hadi madrid wakaonyesha nia ya kumtaka. Kaponda mfumo wa malipo wschezaji wa kigeni wa tz na kusifia wa ulaya si ukweli kwani hata huko wanalipa kulingana na uwezo wa mchezaji na wengine ni mvuto wao kibiashara tu