liwaya
JF-Expert Member
- Jan 20, 2014
- 2,378
- 1,624
Nashindwa kumwelewa huyu shaffi dauda amekuwa na tabia ya kubeza tu na kushadidia vya nje bila ya kuwa na ulinganifu na kwa kuwa amepewa forum ya kusema tu anaitumia vibaya sana kukandia wengine bila sababu mfano jana akiwa clouds tv alikataa kutambua uwezo wa kipekee alioonyesha Manjyika Jr kwa kudai ndio wajibu wake hapo hapo anamsiru Nyiyonzima na Twite kwa kiwango bora kwa wanga na mkude. Ana sahau hata man u juzi tu de gear aliibuka man of the match na everton na kuingizwa top eleven ya week kwa kuokoa michomo mikali na hadi madrid wakaonyesha nia ya kumtaka. Kaponda mfumo wa malipo wschezaji wa kigeni wa tz na kusifia wa ulaya si ukweli kwani hata huko wanalipa kulingana na uwezo wa mchezaji na wengine ni mvuto wao kibiashara tu