Chaliifrancisco
JF-Expert Member
- Jan 17, 2015
- 23,526
- 70,376
Kiufupi tu ni kuwa huyo shafii anaiota nafasi ya Haji pale Simba. Yani anaitamani sana ila ndio hivyo tena hataipata maana ni utopolo mtupu.
Yeye aendeleze ukanjanja tu na kupiga ramli chonganishi.
Yeye aendeleze ukanjanja tu na kupiga ramli chonganishi.