Frank Wanjiru
JF-Expert Member
- Apr 12, 2012
- 21,838
- 38,729
Nyie mlioandamana pale kirumba kumzonga Kayoko kwa madai ya kutoamua vyema mchezo hivi mnaelewa hata maana ya Offside kweli nyie wapiga kelele wa kwa Mparange hamkuona kibu alivyokuwa Offside kisha akaingilia mchezo.
OOk sawa nyie ni wapenda haki lakini ilitakiwa kuandamana hata ile siku ya mechi ya kombe la Mapinduzi kati ya Simba dhidi ya Singida BS si mlipewa ushindi usiokuwa halali, Pia mechi ligi Kuu kati ya Singida Vs Simba si mlikuwa mmepigwa ila SBS wakadhurumiwa goli halali nyie goli lenu la Offside likakubaliwa kuweni wapole basi
Hatujasahau Mechi ya Simba Vs Geita Gold Kapombe alipojiangusha mlipofungwa goli la kusawazisha likakataliwa, Hivi mnakumbuka mechi ya Derby Simba Vs Yanga Kapombe alitoa mpira ikasemekana katoa Lomalisa kona ambayo ilizaa goli lakwanza na kuwatoa mchezoni Yanga mbona wao hawakuandamana, Mechi ya November Kapombe alimdaka Mudathiri ilipaswa kuwa penart ila ikamezwa hamkuiona?
Sent from my TECNO CF7 using JamiiForums mobile app
OOk sawa nyie ni wapenda haki lakini ilitakiwa kuandamana hata ile siku ya mechi ya kombe la Mapinduzi kati ya Simba dhidi ya Singida BS si mlipewa ushindi usiokuwa halali, Pia mechi ligi Kuu kati ya Singida Vs Simba si mlikuwa mmepigwa ila SBS wakadhurumiwa goli halali nyie goli lenu la Offside likakubaliwa kuweni wapole basi
Hatujasahau Mechi ya Simba Vs Geita Gold Kapombe alipojiangusha mlipofungwa goli la kusawazisha likakataliwa, Hivi mnakumbuka mechi ya Derby Simba Vs Yanga Kapombe alitoa mpira ikasemekana katoa Lomalisa kona ambayo ilizaa goli lakwanza na kuwatoa mchezoni Yanga mbona wao hawakuandamana, Mechi ya November Kapombe alimdaka Mudathiri ilipaswa kuwa penart ila ikamezwa hamkuiona?
Sent from my TECNO CF7 using JamiiForums mobile app