DON KILLUMINATI
Senior Member
- Jan 2, 2011
- 193
- 83
people's power
hii maada ya UDOM siipendi kabisa....Yaani nyinyi wenyewe ndio mlimchukulia Fomu za kugombea urais JK.Sasa mnapayuka nini! Vumilieni hayo matatizo mpaka 2015. Na Mtalijua jiji!
hii maada ya UDOM siipendi kabisa....Yaani nyinyi wenyewe ndio mlimchukulia Fomu za kugombea urais JK.Sasa mnapayuka nini! Vumilieni hayo matatizo mpaka 2015. Na Mtalijua jiji!
Tores unakoment kama juha flani hivi bila hata kujua nini unakiandia...Huifahamu UDOM unakurupuka tu....usiwe unasoma magazeti na kulalia katika ulichokisoma..kwa mtu aliye na akili nzuri huwa anafatilia kwa makini kile alichokisoma...unaposikia UDOM ni zaidi ya unachofikiria hapa kuna watu wengi sana na kila mmoja ana falsafa yake katika maisha...waliomchangia MSHAKJI kuchukua fomu ni wala sio wanafunzi ilikuwa ni propaganda za kisiasa na ukumbuke wakati ule ilikuwa ni kipindi cha uchaguzi kwa hiyo magazeti yaliandika mengi kwa jinsi yalivofikiria...WE UNAONAJE UKIITWA FISADI NA BADHILIFU WA MALI YA UMMA KWA KUMRUDISHA ANAEWAKUMBATIA MAFISADI kisa tu ni mtanzania na aliyeshinda kashinda uongozi wa tanzania....acha upuuzi mtu mzima wewe!
hii maada ya UDOM siipendi kabisa....Yaani nyinyi wenyewe ndio mlimchukulia Fomu za kugombea urais JK.Sasa mnapayuka nini! Vumilieni hayo matatizo mpaka 2015. Na Mtalijua jiji!
Jamani msitusumbue, kwani ukiona ndugu wanagombana chukua jembe ukalime.
patty,unakoment kwa jazba tena kipumbavu, kama wewe ni mwana UDOM na huhusiki katika kumchukulia rais fomu za kugombea urais ni kwanini wakati huo hamkukanusha kuwa udom haihusiki? Leo ndo unajifanya kuiondoa udom kwenye saga. For u r info huyo mpare munamuandama bure, chuo chenu hakijaletewa fedha kwa kuwa fedha nyingi zimetumika kwenye uchaguzi na serikali haina hela, ukweli ni kuwa hizo tume zilizoundwa ni delaying tactic huku govt ikitafuta fedha. Huyo DVC-admn and finance hamuwezi kumuondoa kamwe kwa kuwa kwa sasa hana kosa wala kauli. Fumbueni macho muone ukweli na muache utoto kwani wanafunzi na walimu wa UDOM wote bado mna uelewa mdogo wa issues.