Sexy lips ndiyo ugonjwa wangu

Sexy lips ndiyo ugonjwa wangu

unakataa sasa!...huyu wa sasa si kama yule tu!....tofauti huyu hali "ndizi!"..una balaa wewe!!..em jikoseshe njia upite hapa barabara ya 12 hapa!ntakuelekeza njia ya kwenu!
Uko bibi kasema nisijehuko kuna wahuni nibaki huku huku Chumbageni...
 
du!...bibi anakaba hadi kivuli!?...cheza nae chandimu kama Makongoro na Ukawa!
Ushakuwa ujue!
Akuuuu namuogopa mwaya akianza kusema hamalizi siunawajua wewe wazee wa Tanga hawana dogo ataniangaza dunia nzima itajua....
 
Akuuuu namuogopa mwaya akianza kusema hamalizi siunawajua wewe wazee wa Tanga hawana dogo ataniangaza dunia nzima itajua....

hahahahahahaha...maneno yangekuwa risasi wengi tungekuwa tushajifia zamani!
Basi rudisha ile avatar yako kidunchu tu inogeshe mada,huku bibi hakujui!
 
I see that proNDO
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom