kisa cha kukuta bamia na nyanya chungu???????????? me lazima nitest nione yalimo yamo................
uwiiiiiii ndo nyie mkiingia kwenye ndoa eti bwana hakufikishi,,,,,,,, sisikii utamu!!!!!!!!!
ndo maana sapu zipo eeeeenh!!!!! ukifeli mtihani shurti urudie.
Babe wangu uko wapi tuka tukafanye yetu sie tutangaze ndoa!!!!!!!!!!!!!!!
Sasa mbona umebadili msimamo ghafla?!
Kwenye mada yako si umeshauri kina dada wasitest kabla ya ndoa?!
wadada napenda kuwashauri kutofanya mapenzi kabla ya ndoa kwa sababu zifuatazo kwanza ni dhambi mbele za mungu pili mwanaume anakudharau hata kukuacha itakuwa si shida kwake tatu watoto wako watarithi tabia yako nilichokisahau naomba uongezee for women advantages
Hayo ni maamuzi binafsi.
ni dhambi kabla ya ndoa ila ndani ya ndoa haaaa ruksa na MUNGU katoa baraka zake zote.
Ni maamuzi binafsi ila ni vizuri kuwa na msimamo usioyumba!
Tatizo kubwa unaloona kwenye ndoa ni kibamia tu?
Ni moja ya tatizo,,,, kwani ninapo olewa nafuata nn????????
wadada napenda kuwashauri kutofanya mapenzi kabla ya ndoa kwa sababu zifuatazo kwanza ni dhambi mbele za mungu pili mwanaume anakudharau hata kukuacha itakuwa si shida kwake tatu watoto wako watarithi tabia yako nilichokisahau naomba uongezee for women advantages
wewe ni mtu wa maana sana kwa kweli nimefurahishwa na hii uzi wako
vilevile kuongezea hapo unajihatarishia usalama wako wa maisha pindi unapotaka kuolewakwani ushado sana
halafu heshima na ulimbwende wa usichana wako unapotea kabisa na unakuwa una thamani ya kuwa binti
asante kwa kunielewesha ila kwa nn isiwe asilimia 71,,,,73,,,,,,78.9,,,,,,au hata asilimia 69.001?kuna vigezo gan vya kiasilimia haswa ikizingatiwa ni suala la uumbaji and there is a question of soul?asilimia 76 ya akili ya mtoto anarithi kwa mama yake kama mama anatabia za ajabu ajabu ujue na watoto wake watakua hivyo hivyo
practice makes perfect period!!!!!!!!!!!!!!!!!!!
kisa cha kukuta bamia na nyanya chungu???????????? me lazima nitest nione yalimo yamo................
uwiiiiiii ndo nyie mkiingia kwenye ndoa eti bwana hakufikishi,,,,,,,, sisikii utamu!!!!!!!!!
ndo maana sapu zipo eeeeenh!!!!! ukifeli mtihani shurti urudie.
Babe wangu uko wapi tuka tukafanye yetu sie tutangaze ndoa!!!!!!!!!!!!!!!
Ni moja ya tatizo,,,, kwani ninapo olewa nafuata nn????????