Services And Products Of HALOTEL

Services And Products Of HALOTEL

Si
Mimi bado nahangaika,nikiwa home internet yao haina tofauti na ya tigo,niliwapigia wakachukua information kadhaa za eneo nilipo wakasema watakuja kufanyia kazi,still now internet ni very poor,niko mjini,nikitoka hapa home hatua 50 hivi napata net fresh,lakini nikiingia home kwangu ni majanga. Net inashika na kukata kabisa. Sijui shida ni nini wadau.
SiMu zingine zinaanza kue exp may angalia yako ishanusa harufu ya tcra Mpwa badilisha simu
 
Inashangaza sana huyu mtu wa Halotel tangu jana alipofungua uzi huu na watu kuuliza au kutoa maoni yao kuhusu huduma wanazozitoa yeye yuko kimya tu hadi muda huu hajajishughulisha na maswali au maoni ya wadau.

Inashangaza zaidi kuona kuwa jamaa alikuwa hapa jamvini hata mchana wa leo lakini ndiyo hivyo kaamua kukaa kimya.

Au tuelewe ndiyo mtindo wao wa kumjali mteja?
 
pics-png.343042

UTANGULIZI

HALO BEATZ ni huduma inayowapa fursa watumiaji wa HALOTEL kuweka miito wanayoipenda isikike kwa wale wanaowapigia.

JINSI YA KUTUMIA HUDUMA

- Kujiunga na Huduma: Tuma ON kwenda 15607 au piga *15607*1#

- Kupakua Nyimbo: Tuma PATA codeyawimbo kwenda 15607 au piga *15607*Codeyawimbo#

- Kupata Orodha ya Nyimbo Mpya: Tuma MPYA kwenda 15607 au piga *15607*5#

- Orodha ya Nyimbo kwenye Album: Tuma ORODHA kwenda 15607 au piga *15607*6#

- Kusikiliza Nyimbo kwa Kuchagua Nyimbo Bora: Piga 15607

GHARAMA ZA HUDUMA

- Gharama za Kusajili: Tsh.175/Wiki

- Gharama ya Wimbo Kupakua/Wekaupya/Nakili: Tsh.400/Nyimbo kwa mwezi

- Gharama ya Kusikiliza (IVR): Tsh.20/Dakika

WEKA WIMBO WA HALOTEL KAMA MUITO WAKO: Tuma PATA 99005 kwenda 15607


"Pata wiki moja bure kwa kujiunga na Huduma ya HALO BEATZ na uweze kutuma na kuweka nyimbo uzipendazo kwa marafiki pale wanapokupigia kwa kutuma ON kwenda 15607. Piga 15607 (Gharama: Tsh 20/Dakika) kupata nyimbo nyingi mpya za chaguo lako. Gharama ya kujiunga ni Tsh 175/Wiki. Baada ya promosheni".
 
Mkuu naomba utuwekee hapa namba zenu za customer care ambazo TUKIPATA TATIZO TUKIPIGA TUTAONGEA NA MHUDUMU MOJA KWA MOJA. Namba zingine kama 100 au 0620 100 100 hazina msaada wowote kwa mteja pale anapohitaji msaada kwa kuongea na mhudumu wenu.

Ninachojiuliza ni kwa nini hiyo namba haiwekwi hadharani kwa muda mrefu sasa kwa manufaa ya wateja?
 
Back
Top Bottom