Elezea vizuri hitaji lako ndugu.
1.wewe ni jinsia gani.
2.unataka mchumba jinsia gani.
3.umri wako na unataka mchumba wa umri gani.
4.kabila la mchumba kama unapendelea makabila.
5. Sifa za mchumba umtakae mfano dini,kimo chake,elumu yake,umbile lake kama mnene au mwembamba.
6. Sifa zako binafsi kama elimu,kazi,kimo,umbile.
7. Anuani yako unapatikanaje kama ni simu au barua pepe au posta unaweka.
Kwa ufupi fanya hivyo.