Serious? Or gone insanity?

Serious? Or gone insanity?

Mshana Jr

Platinum Member
Joined
Aug 19, 2012
Posts
360,411
Reaction score
829,748
1447833492306.jpg
 
Duuuh, hii kali ya mwaka. He must be a psychiatric case!!! He needs immediate Referral to Milembe for Rx.
 
Teh Teh Hashimu ni king'ang'anizi kama Lowasa vile....
 
Hashimu yupo kwenye ubora wa hali ya juu bora wampatie tu mzee yupo vizuri kotekote....teh!teh!teh!
 
Hahahahaa
Inawezekana huyu mzee ni multitalented?
 
tokea kugombea urais hadi kuwania ukocha!! huyu zaidi ya lowasa.

aridhike na cheo cha ukuu wa familia...
 
Huyu ni muuza magari wa siku nyingi sana kabla ya hata akina Africarier hawajaanza, naona vihela vya mtaji wa magari vinamnyevua nyevua.
 
Huyu mzee atakuwa anaumwa epidomea disease
 
Aliwahi kusema angechaguliwa kuwa rais angeanzisha kilimo cha umwagiliaji kwa njia ya Helicopter!!!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom