Expedito Mduda
JF-Expert Member
- Sep 22, 2009
- 522
- 240
Nashangaa sana kuona hata kile kidogo kinachotolewa kwa ajili ya wakulima kama ruzuku kwenye mbolea tayari mafisadi wameshaingia huko!
Huku Iringa kuna kata ya Mgama watu wanalalamika bei ya mbolea ya ruzuku ni bei kubwa kuliko wenzao ambao wako mbali zaidi. Serikali ni lini itasimamia mambo yake vizuri ili wananchi wafaidike?
Huu utaratibu tayari umeshakuwa mradi wa watu wachache!! Mambo haya ni ya ajabu sana.
Huku Iringa kuna kata ya Mgama watu wanalalamika bei ya mbolea ya ruzuku ni bei kubwa kuliko wenzao ambao wako mbali zaidi. Serikali ni lini itasimamia mambo yake vizuri ili wananchi wafaidike?
Huu utaratibu tayari umeshakuwa mradi wa watu wachache!! Mambo haya ni ya ajabu sana.