Serikali yazidi kuboresha maisha ya Watanzania

wandamba

JF-Expert Member
Apr 29, 2014
510
839
Serikali ya awamu ya tano chini ya Rais Dk. John Pombe Magufuli imeendelea kuonyesha kwa vitendo ni kwa namna gani imedhamiria kuboresha maisha ya Wananchi wake. Kupitia Benki kuu ya Tanzania (BOT) imepunguza Kiwango cha akiba kinacho paswa kuwekwa na benki za kibiashara katika benki hiyo kutoka asilimia 10 (10%) mpaka asilimia 8 (8%). Pia BOT imeshusha riba ya mikopo inayotoa kwa benki hizo za kibiashara kutoka asilimia 16 (16%) mpaka asilimia 11(11%).

Hatua hii imefanya mabenki mengi yanayo jiendesha kibiashara kupata nafasi nzuri ya kutoa mikopo kwa wateja wake. Jambo hili limeifanya Benki ya CRDB kupunguza riba yake kutoka asilimia 21(21%) mpaka kufikia asilimia 17 (17%) pamoja na kupunguzwa kwa riba, Benki ya CRDB imeongeza muda wa marejesho kutoka miezi 60(miaka 5) mpaka miezi 84(miaka 7).

#Tanzania_mpya
#Matokeo+

*Shilatu E.J*
 
Serikali ya awamu ya tano chini ya Rais Dk. John Pombe Magufuli imeendelea kuonyesha kwa vitendo ni kwa namna gani imedhamiria kuboresha maisha ya Wananchi wake. Kupitia Benki kuu ya Tanzania (BOT) imepunguza Kiwango cha akiba kinacho paswa kuwekwa na benki za kibiashara katika benki hiyo kutoka asilimia 10 (10%) mpaka asilimia 8 (8%). Pia BOT imeshusha riba ya mikopo inayotoa kwa benki hizo za kibiashara kutoka asilimia 16 (16%) mpaka asilimia 11(11%).

Hatua hii imefanya mabenki mengi yanayo jiendesha kibiashara kupata nafasi nzuri ya kutoa mikopo kwa wateja wake. Jambo hili limeifanya Benki ya CRDB kupunguza riba yake kutoka asilimia 21(21%) mpaka kufikia asilimia 17 (17%) pamoja na kupunguzwa kwa riba, Benki ya CRDB imeongeza muda wa marejesho kutoka miezi 60(miaka 5) mpaka miezi 84(miaka 7).

#Tanzania_mpya
#Matokeo+

*Shilatu E.J*
Tatizo ni kwamba watumishi wengi hawakopesheki kutokana na madeni mengi kwenye taasisi zingine za fedha, hii inawafanya wasikopesheke. Pia imechangiwa na serikali kusimamisha madaraja kwa muda mrefu
 
Serikali ya awamu ya tano chini ya Rais Dk. John Pombe Magufuli imeendelea kuonyesha kwa vitendo ni kwa namna gani imedhamiria kuboresha maisha ya Wananchi wake. Kupitia Benki kuu ya Tanzania (BOT) imepunguza Kiwango cha akiba kinacho paswa kuwekwa na benki za kibiashara katika benki hiyo kutoka asilimia 10 (10%) mpaka asilimia 8 (8%). Pia BOT imeshusha riba ya mikopo inayotoa kwa benki hizo za kibiashara kutoka asilimia 16 (16%) mpaka asilimia 11(11%).

Hatua hii imefanya mabenki mengi yanayo jiendesha kibiashara kupata nafasi nzuri ya kutoa mikopo kwa wateja wake. Jambo hili limeifanya Benki ya CRDB kupunguza riba yake kutoka asilimia 21(21%) mpaka kufikia asilimia 17 (17%) pamoja na kupunguzwa kwa riba, Benki ya CRDB imeongeza muda wa marejesho kutoka miezi 60(miaka 5) mpaka miezi 84(miaka 7).

#Tanzania_mpya
#Matokeo+

*Shilatu E.J*
mleta uzi ulisoma shule gani? unashangilia hata viashiria vya hatari?
 
wasukuma bwana ihiiii!


watu wanapunguza riba kwa kuwa vyuma vimekaza hujajua tu kwa kuwa umekuja mjini na lori la ng'ombe:D:D:D:D:p
Ndio faida ya vyuma kukazwa...wananchi watspewa mikopo tofauti na hapo awali Bank zilikuwa zinapiga kazi na Serikali tu
 
Ndio faida ya vyuma kukazwa...wananchi watspewa mikopo tofauti na hapo awali Bank zilikuwa zinapiga kazi na Serikali tu
wapeni kwanza zile milion 50 mlizoahidi kuwapa kila kijiji? wapewe mikopo kwa collateral zipi?
 
  • Thanks
Reactions: PNC
Back
Top Bottom