serikali yawaongeza mishahara WALIMU wake

serikali yawaongeza mishahara WALIMU wake

Kirefu cha neno MWALIMU:
M = Mfanyakazi
W = wa kada
A = Asiye miliki
L= Lolote
I = Isipokuwa
M = Madeni
U = Umri wake wote
 
Asante sana Rais wetu, sisi walimu tuna imani na wewe.
japo ni makosa kuisemea mioyo ya wengine, kwa hili naomba kuuvunja huo mwiko.
Haitakaa itokee kwa mwalimu ninaemfahamu wa nchi hii mwenye imani na huyu bwana mkubwa kwa jinsi alivyowatenda na anavyoendelea kuwatenda walimu. Binafsi huwa namshangaa mno jinsi asivyojali maslahi yao japo mkewe katoka kada hiyohiyo. Hivi huwa anamshauri nini kuhusu maslahi ya walimu wenzake?
Mwenzie Mkapa katubu juzi kule zanzibar sijui yeye atatubia wapi!
Walimu wanangoja kuwekewa court injunction kuhusu madai yao tena weekend! Hiyo nyongeza yake ya shs.50000/= akanunulie suti ya valentine kwani hatuihitaji nyongeza za katikati ya bajeti! Ni wazo langu tu.
 
Kama kungekuwa na fedha hizo serikalii ingelipa kwanza madeni ya walimu sababu madeni ya walimu ndio sababu kuu inayo zorotesha secta ya Elimu kwani walimu wanaichukia serikali kama wanavyo wachukia majambazi wanao pora na kuu kisa serikali haitaki kulipa malimbikizo yao
 
Nimepata simu jana usiku toka kwa mtu wa jikoni kuwa ktk payroll ya mwezi January serikali imeongeza walimu kiasi cha fedha za kitanzania 50,000/ flats kwa wote.

Walimu muwe na subira serikali ina wajali.

Acha masikhara ww watu wanahasira zao. Mie nimeuona na kuusoma waraka toka CWT unaonesha kutakuwa na mabadiliko kiasi fulani kuanzia Julai mosi 2014. Kwa juu umeandikwa SIRI so siwezi sema zaidi. Kama ww ni mwl mwone mwakilishi wako wanao huo waraka.
 
jf kazi kweli kweli.yaani mtu anapost uzi kwa akaunti hii afu anakuwa anakomenti kwa akaunti zake zingine
 
  • Thanks
Reactions: y-n
Back
Top Bottom