serikali yawaongeza mishahara WALIMU wake

serikali yawaongeza mishahara WALIMU wake

ferre.g

JF-Expert Member
Joined
Mar 3, 2013
Posts
2,215
Reaction score
329
Nimepata simu jana usiku toka kwa mtu wa jikoni kuwa ktk payroll ya mwezi January serikali imeongeza walimu kiasi cha fedha za kitanzania 50,000/ flats kwa wote.

Walimu muwe na subira serikali ina wajali.
 
Itakua poa sana maana walimu ndo kila kitu, walikua wapi siku zote hizo ?
 
Acha kudanganya watu hela hiyo inatoka katika kifungu kipi na imepitishwa na nani?
 
Acha porojo kwenye ugali, unajua utatufanya masawe atudai zaidi maana wakopaji wazuri wa viroba vya unga.
 
Nimepata simu jana usiku toka kwa mtu wa jikoni kuwa ktk payroll ya mwezi January serikali imeongeza walimu kiasi cha fedha za kitanzania 50,000/ flats kwa wote.

Walimu muwe na subira serikali ina wajali.

Ni hii hii Serikali yenye kushindwa kuendesha hata TANESCO na kuongeza bei ya umeme, ndio ina ubavu huo wa kuongeza Tsh 50,000/= kwa kila mwalimu?
-Pesa imetoka katika Bajeti gani?
-Kwanini hiyo pesa iongezwe sasa hivi?
-Kwanini iongezwe kwa kada/ taaluma moja tu?
-Kwa bei hii ya umeme, tunategemea nauli na bidhaa kupanda, kwa kiwango hicho cha 50,000/=Tshs itasaidia nini?
 
Heko serikali endeleeni kuwajali walimu kidogo kidogo hujaza kibaba na subira yavuta heri.
 
Au ndo zile pesa chafu......

Sent from my BlackBerry 9810 using JamiiForums
 
Ni hii hii Serikali yenye kushindwa kuendesha hata TANESCO na kuongeza bei ya umeme, ndio ina ubavu huo wa kuongeza Tsh 50,000/= kwa kila mwalimu?
-Pesa imetoka katika Bajeti gani?
-Kwanini hiyo pesa iongezwe sasa hivi?
-Kwanini iongezwe kwa kada/ taaluma moja tu?
Kwani tanesco inaendeshwa na serikali au inajiendesha watu gongo imewaharibu mnaandika mambo hata msiyojua ukweli wake.
 
Ni hii hii Serikali yenye kushindwa kuendesha hata TANESCO na kuongeza bei ya umeme, ndio ina ubavu huo wa kuongeza Tsh 50,000/= kwa kila mwalimu?
-Pesa imetoka katika Bajeti gani?
-Kwanini hiyo pesa iongezwe sasa hivi?
-Kwanini iongezwe kwa kada/ taaluma moja tu?
Kwani wewe unataka nini mbona povu sana hutaki walimu waongezwe au nia yako hasa ni nini.
 
ngoja tusubiri tuone ila sidhani kama kuna ukweli hapa
 
Hiyo 50 justification yake ni nini? Walimu inabidi waongezwe by 300%
 
Back
Top Bottom