Serikali yawajibu Umoja wa Ulaya(EU) na Marekani kuhusu kutokuwepo usalama na haki za binadamu Tanzania

Serikali imetoa tamko kali kwa balozi za magharibi: Yalipotokea mauaji ya Kibiti-Mkuranga-Rufiji wakauwawa raia zaidi ya 30, wengi wakiwa wafanyakazi wa serikali za mitaa au kada wa CCM, Wamarekani, EU na wengine walikaa kimya. Ghafla upinzani wachache wamepata mashambulizi, mabalozi hao wameibuka na kauli nzito za kuhoji demokrasia na haki ya binadamu

Kwa mujibu wa tamko la serikali, matukio ya sasa ya uhalifu yenye sura ya kisiasa yanafanywa na "powerful forces" ndani na nje ya nchi ambazo zimeumizwa na vita inayopigwa na serikali ya Rais Magufuli dhidi ya ukwepaji kodi, ufisadi, madawa ya kulevya, matumuzi mabaya ya pesa za umma na kudai uwajibikaji wa sekta za umma na binafsi

Kwa mujibu wa serikali, mabalozi ya magharibi yametoa taarifa zao kuhoji demokrasia na haki za binadamu bila kuelewa vizuri hali halisi ya kisiasa na kiusalama nchini
750b8b4238162f91cf77f4fb2bb3730b.jpg
Hapo kwenye powerful sources
Inaanza kuniingia
 
Serikali imetoa tamko kali kwa balozi za magharibi: Yalipotokea mauaji ya Kibiti-Mkuranga-Rufiji wakauwawa raia zaidi ya 30, wengi wakiwa wafanyakazi wa serikali za mitaa au kada wa CCM, Wamarekani, EU na wengine walikaa kimya. Ghafla upinzani wachache wamepata mashambulizi, mabalozi hao wameibuka na kauli nzito za kuhoji demokrasia na haki ya binadamu

Kwa mujibu wa tamko la serikali, matukio ya sasa ya uhalifu yenye sura ya kisiasa yanafanywa na "powerful forces" ndani na nje ya nchi ambazo zimeumizwa na vita inayopigwa na serikali ya Rais Magufuli dhidi ya ukwepaji kodi, ufisadi, madawa ya kulevya, matumuzi mabaya ya pesa za umma na kudai uwajibikaji wa sekta za umma na binafsi

Kwa mujibu wa serikali, mabalozi ya magharibi yametoa taarifa zao kuhoji demokrasia na haki za binadamu bila kuelewa vizuri hali halisi ya kisiasa na kiusalama nchini
750b8b4238162f91cf77f4fb2bb3730b.jpg
Huu utetezi hauna mashiko, mkulu alisema "wewe washughulikie bungeni mimi nitawashughulikia uraiani" kuna cha kukwepa hapo?serikali ndio muhusika mkuu wa hayo matukio
 
Magu anatanguliza maslahi ya nchi upende usipende, list is long na sina haja kukutajia sababu huna jema, vinyampara wachache kama nyinyi vyeti feki, mliokuwa mnakula vya bure kwa zero work done, na wanasiasa wachache mlokuwa mnavunja vunja Sheria lazima mfure hasira na kuombea doom, unfortunately wishes zenu zitabaki ndotoni mwenu. Shuhudia landslide win come 2020.
Otherwise piga kazi, utajichosha na kujikondesha bure tu, jamaa yupo hadi 2025, wish you long life ushuhudie.

Hii naiita kampeni.
 
Magufuli hawafahamu vizuri marekani. ..kwanza akae akijua mambo haya sio siri yako wazi kabisa. .na mataifa makubwa kama haya hayategemei mabalozi peke yake wako CIA wa kimarekani karibu nchi zote dunian. .dan kwa anavyokataa anadhihirisha wazi hana nia njema na hili taifa, kwanza binafsi yangu nashukuru kwa hiyo hatua ya kumuuliza what's going on..

Ktk nchi iliyokuwa inaaminika kwa amani dunian barua yao ni ishara ya kumwambia tupo tunakuangalia. ..ajue kabisa hayo maandamano ya tarehe 26 April yanazid kuwa signed tena zaid kwa mataifa ya nje juu ya usalama wa raia nawahakikishia magufuli hatomaliza miaka mitano kama hajatolewa madarakani. .aidha kwa nguvu ya wananchi au kwa nguvu ya jeshi..

Mambo yanazid kuwa moto. .Mungu ibariki Tanzania.

Sent from my GT-I9500 using JamiiForums mobile app
 
Ni kweli linalosemwa na EU pamoja na US kwamba kuna ukandamizaji mkubwa sana wa haki za kibinadamu pamoja na democracia apa nchini na cha ajabu sasa uchumi wetu unaporomoka kila siku, mbaya zaidi shutuma zinatoka kwa donnas wetu wa budget ambayo almost 50% tunawategemea wao, watch out Mkulu!

Wenzetu Kenya na msukosuko wao wa kisasa lkn bado budget yao ni 100% wanajitosheleza
 
Serikali imetoa tamko kali kwa balozi za magharibi: Yalipotokea mauaji ya Kibiti-Mkuranga-Rufiji wakauwawa raia zaidi ya 30, wengi wakiwa wafanyakazi wa serikali za mitaa au kada wa CCM, Wamarekani, EU na wengine walikaa kimya. Ghafla upinzani wachache wamepata mashambulizi, mabalozi hao wameibuka na kauli nzito za kuhoji demokrasia na haki ya binadamu

Kwa mujibu wa tamko la serikali, matukio ya sasa ya uhalifu yenye sura ya kisiasa yanafanywa na "powerful forces" ndani na nje ya nchi ambazo zimeumizwa na vita inayopigwa na serikali ya Rais Magufuli dhidi ya ukwepaji kodi, ufisadi, madawa ya kulevya, matumuzi mabaya ya pesa za umma na kudai uwajibikaji wa sekta za umma na binafsi

Kwa mujibu wa serikali, mabalozi ya magharibi yametoa taarifa zao kuhoji demokrasia na haki za binadamu bila kuelewa vizuri hali halisi ya kisiasa na kiusalama nchini
750b8b4238162f91cf77f4fb2bb3730b.jpg
Huu ni ukilza wa hali ya juu! Eti unapewa rai wewe unajibu mbona hamkunipa rai wakati ule!! Rubbish!
 
Tatizo moja kubwa la viongozi wa Tanzania ni kukurupuka kujibu joja.
Hizi nchi za wenzetu hadi kutoa tamko wamefanya utafiti na zaidi kuona kwa macho yao ndipo wakatoa tamko.

Je? Ni uongo kwamba demokrasia imeminywa? Wapi matangazo ya bunge live, wapi mikutano ya vyama vya siasa? Tunaiona mikitano ya viongozi wa Ccm tu hata ambao hawana hadhi ya kufanya mikutano,

Ni wabunge na viongozi wangapi wa upinzani wana kesi mahakamani? Ni wangapi wa Cmm wana kesi za aina yao? Kesi za kutunga?

Je ni uongo kuna mauaji yenye utata?? Tena yote vifo vya utatanishi?? Tumuombe Mungu atupe utii tuache haya yaliyo anza kuonekana kwenye nchi yetu...
 
Hawa jamaa ukiwafuatilia vizuri unaweza dhani mauji inakuwa kama kichaka cha kujificha kwenye maovu yanayofanyaka dhidi ya wapinzani

Kuna kiongozi mmoja alitoka akaanza kufanisha kwanini watanzania wanapigia kelel tundu lisu while kuna watu wengi wamefariki kibit

Namuona na wizara ya mambo ya nje inataka kutumia mauaji ya kibiti kama justifiacation ya yale yanayoendelea Tanzania
 
Kunamambo serikali inakua inajua yenyewe ,na inajibu kama serikali sasa wananchi uku sio vyote mnaweza mkawekwa wazi!
Ndg hata Bosnia ilikuwepo serikali lakini iliuwa watu kwa siri na wazi.
Baadae yaliyo.pata Mladic mnayajua.
Ugonjwa uanza pole pole.
Kuvunja katiba ni halali??
 
Mzee Mahiga ndio kasema mbona kibiti hamkusema ??

Haya ndio majibu ya nguli wa diplomasia na kachero mbobezi ?

Safari bado ndefu
Je ni halali Rais kuvunja katiba aliyo apa kuilinda??
Kuzuia demokrasia na uhuru wa wapinzani ni haki kikatiba?? Mauaji ya Rufiji yanahalalisha kupiga watu risasi na wengine kuwapoteza??
 
Hayo mauaji ya kibiti ni kama kitu planned ili kuja kutumika kama defending mechanism kwa hiki kinachoendelea sasa hapa nchini. Mauaji ya kibiti hatukuwa tunaona misiba bali taarifa za polisi tu. Tena taarifa zenyewe tata. Hatuna uhakika wa idadi ya waliokufa zaidi ya taarifa za polisi ambapo polisi haiaminiki. Simply tumejua kilichokuwa kina tokea kibiti ni zuga ili kuja kuhalalisha haya mauaji ya wapinzani. Mbona misiba ya wapinzani tunaiona, ni kipi special huko kibiti. Hilo movie la kibiti ni kama ile sinema ya magaidi wa amboni ambapo magaidi eti walikutwa wanapika ugali na dagaa. Hukuna gaidi anakula ugali na dagaa.
Nimecheka Sana mkuu
 
Magufuli hawafahamu vizuri marekani. ..kwanza akae akijua mambo haya sio siri yako wazi kabisa. .na mataifa makubwa kama haya hayategemei mabalozi peke yake wako CIA wa kimarekani karibu nchi zote dunian. .dan kwa anavyokataa anadhihirisha wazi hana nia njema na hili taifa, kwanza binafsi yangu nashukuru kwa hiyo hatua ya kumuuliza what's going on..ktk nchi iliyokuwa inaaminika kwa amani dunian barua yao ni ishara ya kumwambia tupo tunakuangalia. ..ajue kabisa hayo maandamano ya tarehe 26 April yanazid kuwa signed tena zaid kwa mataifa ya nje juu ya usalama wa raia nawahakikishia magufuli hatomaliza miaka mitano kama hajatolewa madarakani. .aidha kwa nguvu ya wananchi au kwa nguvu ya jeshi..Mambo yanazid kuwa moto. .Mungu ibariki Tanzania.

Sent from my GT-I9500 using JamiiForums mobile app
mshamba
 
Sio halali, tambua hizi injustice za utekaji nyara na mauaji, bado hakuna evidences za kuihusisha serikali, na kama ilihusika inapaswa kukanywa, sababu there's always rotten elements in organizations.

Na hamna la kuiga kutoka USA kamanda, concerning Human Rights, that's a country built on the back of slaves, a country where shooting black people is the norm of life, a country responsible in the overthrowing democratic elected leaders all over de world and still doing so, nakwambia waandamanaji wote waliouliwa Tz hawafikii waliouliwa marekani mwaka huu pekee na wamarekani wenzao. Acheni kupelekeshwa na wanasiasa, the grass is always greener on the other side.
Usiende mbali, jilinganishe na nchi zetu jirani tu. You'll treasure what you have

Marekani mpaka leo hawajaweza kufahamu mwanamziki wao mkubwa Notorious Big na vile vile Tupac waliuawa na nani. hlafu wanataka sisi tujue nani kaua nani kwa kipindi kiduchu hiki. Khaa!
 
Back
Top Bottom