VUTA-NKUVUTE
JF-Expert Member
- Nov 25, 2010
- 6,135
- 17,802
Katika hali isiyo ya kawaida,serikali ya mkoa wa Pwani imetoa ruhusa kwa jopo la waganga wa kienyeji kupita nyumba hadi nyumba kusaka uchawi kwa nia ya kuutoa.Jopo hilo la waganga ambalo sasa lipo Mtaa wa Visiga Kati,Kata ya Visiga,Tarafa ya Mlandizi wilayani Kibaha linamiliki barua inayobariki shughuli zao.Juhudi zangu za kuipata nakala ya barua hiyo ambayo hatahivyo nilifanikiwa kuisoma,hazikufanikiwa.
Kwa mujibu wa Katiba na sheria za nchi hii,Serikali haiutambui uchawi.Hapa pametokea nini?
Kwa mujibu wa Katiba na sheria za nchi hii,Serikali haiutambui uchawi.Hapa pametokea nini?