Missile of the Nation
JF-Expert Member
- May 24, 2018
- 13,604
- 51,509
Sasa kwani biashara imekuwa vita?
Biashara haigombi yakhe!
Biashara haigombi yakhe!
Traffic wanakusanya kodkwa hisani ya Sikwangalasyene ..........
1. hali za wakulima zinatia simanzi. Masoko ya mazao ya wakulima yamevurugwa
2. wafanyakazi hawakopesheki kwa kuwa hawajaongezewa mishahara kwa miaka mitatu mfululizo hivyo kutokidhi vigezo vya makato
3. biashara zimevurugwa
4. kodi inakusanywa kwa vitisho
5. biashara kama enzi za ukoloni
6. hakuna uwazi kwenye manunuzi (Ndege zimenunuliwa pasipo kufuata taratibu)
7. kuna double standard kwenye kuwajibisha watumishi (Upendeleo)
8. vyombo vya habari havipo huru tena
9. wananchi wamenyimwa haki ya mijadala ya wazi
10. serikali haipo radhi kukosolewa
11. kila mwenye mamlaka ana kauli ya mwisho (Wakuu wa Wilaya na Mikoa wamekuwa kero)
12. upotoshaji kwenye hali ya uchumi wa nchi ni mkubwa
13. 1.5 trillion hazina maelezo (Kuna wizi na ufisadi mkubwa kuwahi kutokea)
14. polisi wanafanya kazi za CCM na si kwa maslahi ya wananchi
15. usalama wa viongozi ni kipaumbele na si usalama wa nchi
Sasa issue iko kwwnye maziwa na kuku. Maziwa robo lita sasa ni shs1500/ kutoka tshs 600/ kuku wa kisasa ni 10,000/ kutoka tshs 5500/ ndio serikali ya wanyonge hiyo.. Kila mahali jii serikali ya wanyonge ikitia mkono ni tatizo kwa wanyonge...Yasijirudie ya sukari na mafuta h
Sasa issue iko kwwnye maziwa na kuku. Maziwa robo lita sasa ni shs1500/ kutoka tshs 600/ kuku wa kisasa ni 10,000/ kutoka tshs 5500/ ndio serikali ya wanyonge hiyo.. Kila mahali jii serikali ya wanyonge ikitia mkono ni tatizo kwa wanyonge...
In "Forced economy" we trust. We are on ze laiti tlaki....tembea kifua mbereeeila katika uchumi "forced economy" can't survive for long