Fair iko wapi......kuwafukuza hata wasiohusika hiyo ndio fair..........kutumia nguvu kwa watu walio cafeteria (mwanafunzi mjamzito) hii ndio fair.......kuingilia uchaguzi wa wanafunzi hiyo ndio fair........hivi jamani tuko ktk era gani........hizi speculation za Mars kugonga Earth tutaziacha lini
........Yes hata ningekwa mimi tatizo lingekuwepo.......lakini hiyo ndio njia fair ya kutatua tatizo??......kupiga watu!!!!
......Wanafunzi wanaoleta fujo (kuvunja milango na vioo) si wanajulikana.......kwa nini hao wasichukuliwe hatua.....hii mambo ya ku-generalise mambo............ndio Upumbavu wa Maghembe.
"Ni rahisi kutumia nguvu kuliko kutumia akili"......na huu ndio upumbavu alioufanya Maghembe
Lakini Nyani kuna kauli ambazo angetoa ingawa ni za kisiasa , lakini zingekuwa na Positive effect, one kumuita Prof Mkandara na watu wake, pili kuongea na Viongozi wa Wanafunzi, tatu kupata taarifa toka kwa Usalama wa taifa na hata facts zingine angezipata toka kwa indepent side of the issue, maana hata magazeti wameandika, mfano suala la Maji kule mabibo kuwa Mradi wa Mtu kwa kusingizia Pump mbovu, suala la Lift kama ni ya kutengenezwa au kubadilishwa, na muda muaafaka wa kubadili ni upi.
Then basing on those ciorcumstance angewasiliana na Pinda na ikiwezekana Raisi, kabla ya kutoa hiyo taarifa ya serekali, kama ni kuunda tume ya kufuatilia madai ya pande zote, hiyo inge-create a cooling off period for both sides , wakati serekali inaufuatilia kwa undani zaidi huo mgogoro.na Muafaka wake uwe vipi.
Leo hii tusingekuwa tuna zungumzia Chuo kufungwa, bali situation ya kufuatilia matatizo ya hizo pande mbili.
Sasa hivi tuna lalamika tanzania kielimu tupo nyuma vis a vis majirani zetu, lakini bado tunaona majibu ya matatizo ya chuo ni kufunga chuo? Kwa mtindo huo tutafika kweli? Kuna Cost ya kifedha, adha za manyanyaso ya hao wanafunzi, hasa wa kike, kifedha etc etc
Unajua mtu ukiwa Msomi ulio bobea kama Prof Magembe analysis yako na maamuzi yako yanatakiwa yasiwe ya kukurupuka na ya muda mfupi, na madhara makubwa.na Hizi ni opportunity chache ambapo Msomi anaweza kuonyesha alivyo tofauti na mwana siasa asiye msomi au asiye na busara.
Mwafrika wa kike, ingawa wengine hapa JF wanakuona kama mwenye msimamo mkali lakini nimekukubali sana, what you say makes sense.
Hoja hapa si kuwalaumu wanafunzi eti ni vihiyo na digri za vichupi, etc. Kwani hao wanafunzi ni product ya nani au nini? Ya education system yetu, walimu wabovu since vidudu, kukosekana kwa vitendea kazi, walimu below standard, mitihani inayo-leak kila kukicha, etc! Kwa hiyo kuleta hiyo argument will not fly. Also they are entitled to choose leaders that they want.
Kumtetea Mukandala siwezi kwa sababu ni lazima atumie hekima. Wanafunzi duniani kote wanajulikana kuwa radicals, na dawa si kuwapiga na kuwafunga jela. That's unacceptable! Na kama hii issue ya mama mjamzito ni kweli, the government has to answer.
Naomba niwakumbushe tunapenda kusema "huwezi kushindana na serikali" lakini hii ni kutoka enzi za ujamaa na one party system, hivi sasa katika democratic system, the government is the people. What we giveth, we taketh. Let us prove this to CCM and taketh away their power to govern because clearly they have failed!
wakienda uholazi si ndio basi kabisa
prof wakati wa mapumuziko anajisogeza pembeni analikamua jani.
tukirudi tz
uzinzi
hao maprof na mawaziri mbona ma magari yao hua hayaishi pale Ohio au nawo tuwavizie tukiwakamata tuwafukuze kazi na tuwapeleke rumende
maadili
mbona hao ma prof hua wanakata ulabu hadi wanajikojolea.
Nyani, alipoteuliwa kuwa Waziri wa Elimu ya Juu miongoni mwa mambo ya kwanza ambayo angetakiwa kushughulikia ni suala la Mlimani. Ni rahisi kutumia nguvu kuliko kutumia akili!
Kama wizara iliyofikia uamuzi wa kufukuza wanafunzi iko chini ya prof.kuna haja ya kuangalia upya wana taaluma wetu,wanafikia maamuzi kama wanasiasa washangiliaji na si kama wanataaluma walio kwenye siasa......Prof.Kachemsha
Tangu lini mwanafunzi wa Chuo Kikuu anaamuriwa kuingia darasani? Halafu unamfukuza kwa kutokuingia darasani? Kama uprofesa ni huu, nashukuru mungu sikuzigusa hizo anga tukufu nikabakia fundi mchundo.
Chuo Kikuu gani ambacho hakina wavuta bangi? Clinton alivuta, Obama alitumia mpaka cocaine inasema george W naye haukwa nyuma kwenye haya masuala! Wangapi tumewaona wakitumia hayo majani wakati wa ujana wao na sasa ni viongozi wa kuaminika dunia nzima? Chuo Kikuu kinazuia kubusiana wanafunzi! Hiki ni Chuo Kikuu au shule ya msingi? Ni lazima tuanze kuwa'treat' wanafunzi wa Chuo kikuu kama watu wazima na kuwapa heshima wanayozstahili. Ni lazima tuanze kuheshimu sacrifice na gharama ambayo jamii imeingia kumfikisha huyo mwanafunzi mahali pale. Ni lazima tuanze kutambua kuwa pale na sehemu nyingine kama zile ndiyo font ya vichwa vyetu vya baadae na ni lazima tuwape uhuru wa kutafakhari na kudadisi mambo bila kuwaingilia. Wakitoka hapo, dunia itawaweka sawa lakini wakati wako pale waachiwe waweze kufikia their full potential.
Kama nguvu ilitumiwa na mkandala kwa wanafunzi hawa angemshauri raisi wetu akaitumia kwa mafisadi maisha bora kwa kila mtanzania yangewezekana.
Huyu Prof. naona bado anamawazo ya kizamani maana siku hizi kila kitu ni majadiliano yeye anamua kutumia nguvu kutatua mgogoro ambao anajua kabisa athari zake ni kwa taifa na sio mtu mmoja. Hawa vijana wanarudishwa nyumbani wakafanye nini? kama sio kuwa majambazi.
Unajua wanafunzi wameshazoeshwa kwamba matatizo yao hayawezi kutatuliwa hadi wagome. Na ni kweli mara nyingi wakigoma hupata walichokuwa wakikitaka. So, it is the question of attitudes. Ndio yale yale tunayoongelea hapa kila siku: respect to the rule of law na ustaarabu. Ongeza na cha tatu sasa: ustahimilivu. Jamii yetu imekuwa jamii isiyo na ustahimilivu. Hakuna patience kabisa. Wanafunzi wetu hawawezi kusibiri hata kidogo.
.
Bravo Prof. Mukandala and the UDSM to chess the rabbish! The Profs and the ADMN have been there for about 40yrs solving problems of the like-Enough Experience!Hao vijana ni rabbish & Tabula RASAs (Empty Buckets Upstairs). They are driven by emotions but not thoughts. Wajue kuwa wako ktk bus safarini na kila mmoja atashuka mahala pake! Sifa nzao: Failures,VILAZAs Nomoney, Frustrates and Stupid Puppets! They wanna be the losers eventually!.Confused and noise makers. Wanaotaka kusoma watasoma tu no matter the commotion. Hao wegine wata-vanish logically.
Bravo Prof. Mukandala and the UDSM to chess the rabbish! The Profs and the ADMN have been there for about 40yrs solving problems of the like-Enough Experience!Hao vijana ni rabbish & Tabula RASAs (Empty Buckets Upstairs). They are driven by emotions but not thoughts. Wajue kuwa wako ktk bus safarini na kila mmoja atashuka mahala pake! Sifa nzao: Failures,VILAZAs Nomoney, Frustrates and Stupid Puppets! They wanna be the losers eventually!.Confused and noise makers. Wanaotaka kusoma watasoma tu no matter the commotion. Hao wegine wata-vanish logically.
Bravo Prof. Mukandala and the UDSM to chess the rabbish! The Profs and the ADMN have been there for about 40yrs solving problems of the like-Enough Experience!Hao vijana ni rabbish & Tabula RASAs (Empty Buckets Upstairs). They are driven by emotions but not thoughts. Wajue kuwa wako ktk bus safarini na kila mmoja atashuka mahala pake! Sifa nzao: Failures,VILAZAs Nomoney, Frustrates and Stupid Puppets! They wanna be the losers eventually!.Confused and noise makers. Wanaotaka kusoma watasoma tu no matter the commotion. Hao wegine wata-vanish logically.