Mtanganyika
JF-Expert Member
- Jul 18, 2007
- 1,601
- 964
YNIM,
Kugoma shule kwa ajili ya calculator ni kitu cha kijinga na kipumbavu sana.
Wewe uko Marekani, calculator alikupa nani? si uliinunua mwenyewe? je ulipewa ruzuku? hapana!
Tatizo la UDSM si kilio cha kusema hakuna maji, kama ni hivyo, basi nchi nzima igome kufanya kazi! Kama ni umeme kukatika katika, basi nchi nzima igome kufanya kazi na kuamka!
Unasema, haki yao ya kuchagua Serikali imepindwa, je imepindwa vipi? ushahidi gani ulioko kuwa Uongozi wa Chuo ulifanya kwa kusudi kubatilisha uchaguzi na kuzuia yule Mwanafunzi Mganda?
This is what I see of UDSM and its problems. There is high degree of arrogance which is accompanied with extreme childish behavior in the name of haki zetu!
This has been the culture of UDSM student acting as if they are special priviledged group in our country. The fact that most of students do not want to work hard and earn any money to support themselves, and pay for their tuition, food books and supplies, tells kila mwananchi kuwa there is something wrond with our "intellectuals"!
People need to get real; nothing is for free anymore. I would not be suprised that wataandamana kwa kuwa hawajapewa sabuni na vyoo havna toilet paper!
Wakati kina Mwabulambo na wazee wengine walipoleta mgomo in 70s, they had a cause that was relevant.
Hata migomo iliyokuja baadaye, si yote ilikuwa ya msingi.
Nailaumu Serikali kwa kulea na kuendekeza ugonjwa huu wa kitabia ambao unazorotesha maendeleo ya elimu na maendeleo ya Taifa letu. Hii dhana ya kuwa tegemezi kwa kila kitu inabidi ifutwe. Kelele za kudai sisi ni watoto wa masikini au wakulima zizimwe na zisipewe nafasi hata kidogo kusikilizwa.
It is time that scholarships be awarded to those who trully deserve them. Either you have to receive scholarship due to supreme perfomance on your "A" levels or there is a solid proof that you can not afford to borrow money from Serikali to foot your own school expenses.
Why should I entertain the thought that my tax money is being wasted by ungrateful kids? I have a battle fighting mafisadi using my tax money, but now I have to fight with spoiled bratts?
Get mkopo, get a job, pay for your own damn calculator. If the elevators are not working use the staircase, it is a good exercise!
NA NDIO MAANA NIKA KWAMBIA KUWA TATIZO SIO TATIZO..BALI TATIZO NI USUGU WA TATIZO!KWAMBA MIAKA NENDA RUDI NYIMBO NI ZILE ZILE NA HAKUNA JIPYA!HAYO NDIO HUPELEKEA CIVIL UNREST!WE NDO UNATAKA KUSPIN MAN!Are you really sure of what you are accusing me here off? When did I state absence of basic necessities of human beings was okay?
I need you to go through my 1000+ postings and find where did I say people do not need necessities such as water? find one thread even if it is by implication!
What I questioned was the logic to create a strike, disturbing peace and create havoc which has led to temporary closure of UDSM.
Let me be straight here, I am not siding with Administration either!
Ama ile ya kasungura kama sikosei!Your either for the student or agaisnt the student, so far you have been so much against the students. Tupe upande wako wa pili basi wa mapungufu ya UTAWALA katika sakata hili zima basi.
Natamani kusikia labda nitarejesha imani.
Kauli yako ya lift na wanafunzi inakaribia kufanana na ile ya Mramba ya wananchi kula nyasi
Asha
YNIM,
Kugoma shule kwa ajili ya calculator ni kitu cha kijinga na kipumbavu sana.
Wewe uko Marekani, calculator alikupa nani? si uliinunua mwenyewe? je ulipewa ruzuku? hapana!
Tatizo la UDSM si kilio cha kusema hakuna maji, kama ni hivyo, basi nchi nzima igome kufanya kazi! Kama ni umeme kukatika katika, basi nchi nzima igome kufanya kazi na kuamka!
Unasema, haki yao ya kuchagua Serikali imepindwa, je imepindwa vipi? ushahidi gani ulioko kuwa Uongozi wa Chuo ulifanya kwa kusudi kubatilisha uchaguzi na kuzuia yule Mwanafunzi Mganda?
This is what I see of UDSM and its problems. There is high degree of arrogance which is accompanied with extreme childish behavior in the name of haki zetu!
This has been the culture of UDSM student acting as if they are special priviledged group in our country. The fact that most of students do not want to work hard and earn any money to support themselves, and pay for their tuition, food books and supplies, tells kila mwananchi kuwa there is something wrond with our "intellectuals"!
People need to get real; nothing is for free anymore. I would not be suprised that wataandamana kwa kuwa hawajapewa sabuni na vyoo havna toilet paper!
Wakati kina Mwabulambo na wazee wengine walipoleta mgomo in 70s, they had a cause that was relevant.
Hata migomo iliyokuja baadaye, si yote ilikuwa ya msingi.
Nailaumu Serikali kwa kulea na kuendekeza ugonjwa huu wa kitabia ambao unazorotesha maendeleo ya elimu na maendeleo ya Taifa letu. Hii dhana ya kuwa tegemezi kwa kila kitu inabidi ifutwe. Kelele za kudai sisi ni watoto wa masikini au wakulima zizimwe na zisipewe nafasi hata kidogo kusikilizwa.
It is time that scholarships be awarded to those who trully deserve them. Either you have to receive scholarship due to supreme perfomance on your "A" levels or there is a solid proof that you can not afford to borrow money from Serikali to foot your own school expenses.
Why should I entertain the thought that my tax money is being wasted by ungrateful kids? I have a battle fighting mafisadi using my tax money, but now I have to fight with spoiled bratts?
Get mkopo, get a job, pay for your own damn calculator. If the elevators are not working use the staircase, it is a good exercise!
Rev. [B said:Aidha kwa kufuata mtiririko wa mabandiko kadhaa, Mkuu wa Chuo inaonekana hapendeki, kwa sababu moja au nyingine. Kama ni kweli unayoyasema kuwa alitumia nguvu zake kama mshikaji wa Raisi, basi kwanza hafai kuwa Mwalimu, pili hafai kuongoza taasisi yeyote.[/B]
Je tatizo ni Utawala wa UDSM pekee au ni mpaka Wizara mama na Serikali kuu? Hapo ndipo domino effcet inakuja na suala langu la kusema mfumo mzima wa elimu ni mbovu na unatokana na mazingiea mabovu yaliyoko ya kiutendaji na kiuchumi.
Je ilikuwa ni lazima kuweka mabandiko provocative? huo ni upofu wa kutisha sawa na kuanzisha fujo kisa calculator!
Je tatizo la maji na umeme ni la Uongozi wa Chuo au ni la nchi nzima? What would Mukandala do if Dawasco na Tanesco wamekata maji na bili zote zimelipwa?
Nadhani Mkuu umeishi mno Marekani. hiyo kazi ambayo unasema hawa wanafunzi hawataki kuifanya iko wapi? Wanafunzi wengi marekani wanafanya kazi za uwaiter au waitress ili kujiongezea kipato. Unajua hao wahudumu wanalipwa ngapi bongo mbali na matzamo wa jamii kuhusu wote wanaofanya hizo kazi! Mimi wakati nasoma ilikuwa wakati wa likizo wanafunzi wa sekondari walikuwa wanaajiriwa tempo kwenye mashirika ya uma. Leo graduate lawyers na engineers wanakazi hata kupata kazi ya kibarua! last time i checked, Steers (McDonald yetu) hawaajiri wanafunzi!
Hiyo scientific calculator unayosema wajinunulie, unajua bei yake ni theluthi ngapi ya mshahara wa kima cha chini bongo? Na huko Marekani ni theluthi ngapi?
Aaah! Mikopo? unajua mbinde zinazotawala katika kupata hiyo mikopo? leo unasema waende wakakope? Wapi? Benki ipi?
Mara ya mwisho ulipanda ghorofa kumi na ndoo ya maji,Mkuu, ilikuwa lini? Mara ya mwisho umetumia choo cha shimo ukiwa Chuo Kikuu ni lini? Leo kweli unadiriki kusema kupanda ghorofa kumi kila siku ni great exercise? Na wale wenye ulemavu, wenye uja uzito nao utawaambia hivyo hivyo? Kwamba wajitahidi kupanda hizo ghorofa maana zitawajenga kiafya!
Kuna usemi, Mkuu, "the straw that broke the camel's back". Inawezekana sababu walizotoa kwenye hili ni inconsequential lakini ni hitimisho la mataizo ya muda mrefu. Mimi naamini huko marekani chuo kikuu ambacho hakina huduma ya maji ya hakika, lifti zimeota kutu kingeishafungwa na authorities. Kukosa maji katika jengo la ghorofa kumi ni public health hazard.
Wakina Mwabulambo waligoma kwenda JKT wakaitwa elitist kama wewe unavyotaka kuwaita hawa! Hakuna tofauti kati yao isipokuwa passage of time ndiyo inayotufanya tuone hivyo. unadhani wakina mwabulambo wangekubali hali iliyojiri sasa hivi? Thubutu! wakati wanasoma wao kila kitu kilikuwa bure na mess kulikuwa na waiters na menu na bado wakagoma!
Ni sis ambao tuko pembeni ambao tunatakiwa tu'get real' na kuacha kuimba nyimbo za kuwa washukuru upendeleo waliopata. tuwaangalie kama wananchi wengine na tuwatendee haki. Tusiwabeze.
Amandla!
Wakati tukiendelea mjadala napenda kuwafahamisha kuwa sakata hili limechukua sura mpya baada ya prof Maghembe kukubali ombi la Uongozi wa UDSM kutengua adhabu yake ya kuwafutia udahili baadhi ya wanafunzi. Pia polisi wamekubali kuifuta kesi iliyofunguliwa dhidi ya wanafunzi 38. Lakini nabaki najiuliza kwa nini UDSM ilikwenda kumuomba Maghembe abadilishe uamuazi wake? Ina maana maghembe alifikia uamuzi bila kushauriana na uongozi wa UDSM?
Lipo pia suala la idadi ya wanafunzi ambao walifutiwa udahili. hakuna aliyesema mpaka sasa idadi ya waliofutiwa udahili wala kutaja majina yao. Sasa sijui msamaha huu unawahusu wote au wale tu ambao walikuwa wamefunguliwa kesi?
Unajua watanzania tuna tatizo la kucreate arguments. Point tunayoongela ni kuhusu UDSM kuwa chuo cha magester kwa miaka nenda uje. I didn't understand what was real your point?
Nimekulia Mlimani, nimesoma Telecom mlimani, wazazi wangu ni wakufunzi ndani ya mlimani. So, don't tell me anything about mlimani. I know mlimani mbele nyuma. Wanzilishi wa migomo ni
magester ambao serikali kwa kutumia kodi inawalipia ada.
Sasa Jee nani anaewatia aibu Alumni. Hawa magaster au unedited english yangu? That is the problem ya kutaka kuchangia mdahalo usio na idea nao.
Why UDSM wanagoma every year? Jibu swali na sio kutuma post 100 kuacquire premium membership
Juu ya hayo, naamini hakuna mtu ambaye amezaliwa perfect na amezaliwa kuwa kiongozi, na hapa inaonyesha kama vile rais alimpa mukandala cheo kwa mtindo wa ushkaji, je ni mchakato gani unaofanywa ili kumpata kiongozi wa chuo? au rais anachagua jina kama vile anavyochagua mawaziri au wabunge wa kuteuliwa na rais?
Binafsi nahisi mkandala anaandamwa na matusi kwa vile yeye ni mwanaCCM au chuki binafsi kwa huyu bwana.
Hili la maji na umeme naona wanafunzi wamezidi, wana kiburi na majivuno ya kujiona wao ndio wanastahili kupata hizo huduma kuliko mtu mwingine yeyote yule.
Kama umezaliwa na kukulia mlimani, na kama umesoma mlimani na kisha unaandika english mbaya kiasi hiki basi kuna sababu ya kufuaatilia matokeo yako.
Ahhh umesema kuwa wazazi wako wanafundisha mlimani kwa hiyo inawezekana ulikuwa unapass kwa nguvuu ya wazazi wako ambao nao inabidi wachunguzwe walipataaje kazi hapo.
Kwani unalazimishwa kutumia kiingereza? Kama huwezi kingereza si utumie tu kiswahili kuliko kubaka lugha ya wenzako? Unadhani utamtisha mtu kwa kusema kuwa umezaliwa nakukulia mlimani? Point zako zinaonyesha vinginevyo.
Kama umezaliwa na kukulia mlimani, na kama umesoma mlimani na kisha unaandika english mbaya kiasi hiki basi kuna sababu ya kufuaatilia matokeo yako.
Ahhh umesema kuwa wazazi wako wanafundisha mlimani kwa hiyo inawezekana ulikuwa unapass kwa nguvuu ya wazazi wako ambao nao inabidi wachunguzwe walipataaje kazi hapo.
Kwani unalazimishwa kutumia kiingereza? Kama huwezi kingereza si utumie tu kiswahili kuliko kubaka lugha ya wenzako? Unadhani utamtisha mtu kwa kusema kuwa umezaliwa nakukulia mlimani? Point zako zinaonyesha vinginevyo.
Mkubwa hatupigani ngumi, we just arguing for the sake of our nation. Sasa nilisha kuuliza why are you supporting Migomo ya chuo? English or swahili has nothing to do na mabishano haya.
I think hakuna poit yoyote ya muhimu ya kushambulia wazazi at this poit. Wanafunzi kugoma kunachangia kukiweka kile chuo kwenye coma. So, the last thing i was expecting from you ni kuanzisha malumbano mengine ambayo yako irrelevant na topic.
Why wanafunzi wanagoma? That is where we started, so can we go back and continue from that point? Tatizo la watanzania ni kutafuta shelter pindi tukishindwa kubattle kwa point.
Mkuu
mbona mbona wengi tunakosea sana kuandika kiswahili mimi mmoja wao.
mbona hapo hatuulizi?? mtu akikosea kiingereza eti wanahoji usomi
nani alikuambia kiingereza ndio usomi????
Inamaana mtoto wa darasa la nne kutoka uingereza ni msomi kuliko waafrika wote ,maana anaongea lugha maridadi ya kiingereza ,grama bomba .
Ama nchi zisizotumia kiingereza si wasomi kwa maana kiingereza kwao ni tabu kama vile ujerumani,norway,japan,urusi,holland,poland,austria,uberigiji,italia,ureno n.k
Samahani kwa kuvamia mada yako naomba uniileweshe zaidi una maana gani haswa.
Hakuna aliyemlazimisha kutumia kingereza ambacho anakikosea hapa kwa level ya juu kabisa. Anaweza akatumia kiswahiili na akaeleweka vizuri zaidi na asitie kichefuchefu wale wasiojua kiswahili na wanaojaribu kusoma mabandiko ya kiingereza.
Kama unaaweza kuandika kiswahili vizuri ni bora ukatumia kiswahili maana unabaka lugha ya wenzio na kuiharibu hivi hapa jamboforums.
Tumia lugha unayoielewa vyema na utaeleweka la sivyo utaonekana kama mtu ambaye unavuruga english kimakosa ili usieleweke na baadaye uanze kulaumu watuu kuwa hawataki kukuelewa.
I think kubishana kwa point is something which doesn't exist in third world nations.