Rev.Kishoka
JF-Expert Member
- Mar 7, 2006
- 4,526
- 1,552
REV,
Issue ya msingi hapa ni suala la Mkandala kuingilia uchaguzi huru wa wanafunzi wa UD kabla hajaleta polisi kumpiga mama mjamzito asiye na hatia yoyote.
Haya ni tofauti na yote uliyoongelea hapo juu.
Swali moja kwako, je ni halali kwa Mukandala kuingilia uchaguzi wa wanafunzi?
hata ukikataa, maandishi yako humu hayajafutika na sidhani kama yatafutika.
Mwafrika wa kike sio mwananchi?Falsafa za CCM kuwa wananchi ni wana CCM peke yao?Shivji nafikiri pia alikuwa akimaanisha "jambo forums"Taifa ni la wote..we all have high stakes in the well being of our country's educational institutions..for its the core point of democracy,hope leadership and progressive minds that if propely utilized(instead of always opposing)..can yield to a more prosperous Nation.
That together we can build a trully free nation that defends and respects its citizens while using its resources for the benefits of "THE PEOPLE"
This will include providing them with appropriate social needs in order to facilitate their educational enviroments hence facilitate their ability to sustain their objectives!
That will be a lot more better than just sending the so called "vijisenti" to overseas accounts where it benefits no body neither does it play any role in any constructive ways on our national interests!
kwa wanafunzi jamani chonde, ni vyema kugoma lakini muwe na sababu ya kushawishi wananchi wote. Msijipendelee tu nyie kama vile ndio binadamu wenyewe hapa tanzania. Piganieni kwa nguvu zote maisha bora kwa kila mtanzania sio maisha bora kwenu tu. Na pia msifanye vurugu za kuharibu mali na mchambue kila ushauri mnaopewa, sio kuchukua kila ushauri.
Na kwa chuo tafadhali muwashauri hawa vijana ipasavyo, na muwaache waendelee na kuchagua viongozi wanaowataka, wachukulieni hawa kama watoto wenu wa kuwazaa na kwamba ndio watakuwa viongozi wa kesho, wengine wakawa mabosi wenu hapo baadae.
IDUMU JF
out of touch with the reality..,
UKIWA UD huwezi pata huo muda wa kufanya temp labda likizo,na hizo temp hazipo,zilizokuwepo kuzipata hadi utoe rushwa!!
zisizohitaji rushwa tanzania haziitwi TEMP!!hebu acheni matusi jamani,since when kufanya kazi restaurant ni tempo tanzania.i know a bunch of huys living out of dinners!!kwa kifupi kwa nchi yetu kazi hizo hizo hapo juu ni EMPLOYMENT na sio temp!!
pili,kwa jinsi mijiprof ya hicho chuo inavyofuata systems za mwaka 47 haiwezi jenga mwanafunzi mbunifu hata kidogo,kwani ukileta ubunifu you are destined to fail.
mzazi gani anataka mwanae awe-dicontinued kwa kuwa alijaribu kuw ambunifu wa kubuni system ya maji??
haya mambo ya ubunifu ni kazi za graduate students under research centers za Universities husika na sio undergraduate,kwani kozi za undergraduate hasahasa engineering zinasisitiza kwenye basics,hivi mnataka kutufanya waTZ naive kiasi hiki kuwa shida za umeme na maji zitamalizwa na 3rd year students wa ENG dept UDSM??no way!!tanzanians deserve better treatment.
tatu hao maprof ndio kabisa usiseme!!there is no way wakatoa product ambayo ni research oriented wakati wanashindwa hata kuanda mihula based on their own works.yani ni jambo la ajabu basic curiculum ya UDSM haitumii vitabu kutoka UDSM.mnafanya nini hapo??kufuga kuku??
and again,msigeuze shida za wananchi,uzembe wa viongozi kuwa hoja kwenye kutatua matatizo ya wanafunzi.
Idealism? si tunamlaumu Nyerere kwa kushindwa kufanya vitu viwe practical? sasa nafasi tunayo tunatoa sababu eti "hali halisi"!
We need to be creative bwana to become successful. We have been a dependent nation, kiasi kuwa tumekuwa wavivu wa kuwa wabunifu.
Tayari unalalamika kuwa Utingo si kazi rahisi, sasa iweje iwe kazi rahisi ya Utingo imshinde msomi? Hivi hawa jamaa wasomi wakienda na kuanza kuthamini Ubamedi na Utingo si watajifunza mambo mengi tuu kama hawatapata kazi za maofisini au viwandani?
Lets say siku yako darasani ni saa 1 asubuhi mpaka saa 8 mchana, halafu huna lolote zaidi ya kubukua na homework. Ukienda kuwa konda/utingo pale Mwenge kwa masaa manne, si pumziko tosha huku ukijifunza hata hiyo kazi na kujua biashara ya vipanya inafanywaje na mapato yake yanaweza kuwa makubwa kiasi gani (mind you kuanzia saa 9 mchana mpaka saa 1 usiku ni rush hour Dar)?
Au kama hilo halitoshi, si kuna tenda kila siku za kusafisha maofisi, mazingira na vitu vingine ambavyo vinahitaji mtaji mdogo wa pesa na zaidi ni nguvu kazi? Sasa kama RevYNIM wakianzisha kakamppuni kao ka kusafisha ofisi na madarasa na kuwasilisha tenda kwa UDSM au ESRF na maofisi mengine, si hapo tunajifunza biashara na kupata pesa za kukidhi mahitaji?
Labda mwisho niseme hivi, niko Uhandisi, darasa limekweisha nakwenda pale zamani palikuwa panaitwa IPI, naanza kuchora mashine yangu ya kusukuma maji kwa kubanjua mashine mbovu na kutumia vipuri. Sasa kama nimeweka mawazo chanya na nguvu za ubunifu si nitapata kuelimika kwa kujua ninachosoma kwa nadharia na kukifanya kwa vitendo an si kusubiri chuo kikifungwa niende field work?
"Akili tunazo, tunazikalia"!
Tamko la Serikali kutokana na kufukuzwa kwa wanafunzi 300 halisemi lolote kuhusu uchaguzi wa wanafunzi.
Hilo la uchaguzi wa wanafunzi linatumika kama kisingizio na hata wengi hapa mnakimbilia kulitumia kama kigezo.
Sijui ni sheria gani iliyokiukwa na DARUSO iliyosababisha Mkuu wa Chuo kuingilia kati na kusitisha Uchaguzi. Kumbuka DARUSO na katiba zake ni mali za UDSM na mkuu wa Chuo ana final say! Tusikie ni nini kilichotokea kutoka pande zote mbili ndipo tutoe hukumu kama Mukandala kakosea au la.
Majibu yangu yaliyopita yanatokana na hoja aliyoleta YNIM kuwa sababu za mgomo ni kukosekana maji, umeme, calculator na lifti.
La huyu Mganda linalojuliana kwa jamii kupitia vyombo vya habari ni kuwa alitakiwa atoe vitambulisho kadhaa na bado hajafanya hivyo.
Truth of the matter is this, there are few knuckleheads who stir up al this mess. Emotions ran high on other students and their other frustrations were vented through this excuse of Uchaguzi.
Uongozi wa chuo umesema, wale waliosimamishwa watarudishwa Chuoni wakimaliza kesi zao. Wamefukuzwa (simamishwa) kutokana na vurugu ziliotokea tangu February na kusababisha mwanafunzi mmoja kupoteza maisha na makosa ya jinai, including kuvuta bangi, sexual harrasment na kutishia maisha ya wale ambao wasingeunga mkono mgomo.
There are two cases intertwined here and at this stage you can not separate the two.
DARUSO and TAHLISO are shooting themselves in the foot.
Kwa uvivu wa kuruka na kutoangalia juu..Kuku amebakia kuwa kitoweo rahisi kwa mwanadamu na pia kula wadudu kwa kufukua fukua tu na kula anachokipata!Its time we look up!Its the time that we need to use convetional thinking!out of touch with the reality..,
UKIWA UD huwezi pata huo muda wa kufanya temp labda likizo,na hizo temp hazipo,zilizokuwepo kuzipata hadi utoe rushwa!!
zisizohitaji rushwa tanzania haziitwi TEMP!!hebu acheni matusi jamani,since when kufanya kazi restaurant ni tempo tanzania.i know a bunch of huys living out of dinners!!kwa kifupi kwa nchi yetu kazi hizo hizo hapo juu ni EMPLOYMENT na sio temp!!
pili,kwa jinsi mijiprof ya hicho chuo inavyofuata systems za mwaka 47 haiwezi jenga mwanafunzi mbunifu hata kidogo,kwani ukileta ubunifu you are destined to fail.
mzazi gani anataka mwanae awe-dicontinued kwa kuwa alijaribu kuw ambunifu wa kubuni system ya maji??
haya mambo ya ubunifu ni kazi za graduate students under research centers za Universities husika na sio undergraduate,kwani kozi za undergraduate hasahasa engineering zinasisitiza kwenye basics,hivi mnataka kutufanya waTZ naive kiasi hiki kuwa shida za umeme na maji zitamalizwa na 3rd year students wa ENG dept UDSM??no way!!tanzanians deserve better treatment.
tatu hao maprof ndio kabisa usiseme!!there is no way wakatoa product ambayo ni research oriented wakati wanashindwa hata kuanda mihula based on their own works.yani ni jambo la ajabu basic curiculum ya UDSM haitumii vitabu kutoka UDSM.mnafanya nini hapo??kufuga kuku??
and again,msigeuze shida za wananchi,uzembe wa viongozi kuwa hoja kwenye kutatua matatizo ya wanafunzi.
na pia wewe unapuuzia yote waliofanya viongozi wa wanafunzi pale waliposhnikiza wanafunzi wenzao kupinga mgomo kwa kutamka kuwa ni mgomo batili. si ndio hao hao unaowageuka?
Na pia wanafunzi waache kuongopa eti mwanafunzi kauawa, tuwe wakweli..ndio jazba zenyewe ili kuvuta symphathy ya wananchi. Hasa hasa huku kwetu musoma tumewashtukia kuwa nyie ni wanok nok.
Kwa uvivu wa kuruka na kutoangalia juu..Kuku amebakia kuwa kitoweo rahisi kwa mwanadamu na pia kula wadudu kwa kufukua fukua tu na kula anachokipata!Its time we look up!Its the time that we need to use convetional thinking!
We need to use our conceptual thinking and skills!
Sasa hawa watu wasipouliza kuhusu maji watawaletea wananchi maji huko wanakokwenda?Watayajali vipi masikini na kuwapa huduma muhimu za jamii wanazostahili kutokana na kodi zao pamoja na miradi na rasilimali za taifa?
"CHARITY START AT HOME!"..Therefore hawa wanafunzi wataanza kudai haki kuanzia huko vyuoni hadi vijiji!
Je hujui kuwa hawaendi vijijini kwasababu tatizo ni kuwa wao ni product ya mlimani ambako ungozi bora ni ubinafsi,kujitenga na wale unaowaongoza,kutosikiliza vilio vya wale unaowaongoza kwa kuaminini kuwa vitisho na hatari ya kuwaharibia maisha vitawanyamazisha!Kwamba umasikini wao(ambao ni majority ya watanzania) utawafanya wawe makondoo!
Taifa gani wewe unataka tulijenge?
WANA UDSM THIS IS YOUR TIME TO CONTRIBUTE IN THIS HISTORIC MOMENT!TIME WILL BE O YOUR SIDE!NA KUGRADUATE MTAGRADUATE TU!MUDA KIDOGO UTAPOTEA BUT ITS WORTHY!THIS TIME VITISHO NA UNYANYASAJI VISIWASABABISHE KUUZA UHURU WENU!IF YOU CAN CHANGE ONE CLASS..THEN YOU CAN CHANGE ONE DOM..AND IF YOU CAN CHANGE ONE DOME..THE YOU CAN CHANGE THE UNIVERSITY..AND IF YOU CAN CHANGE THE UNIVERSITY THEN YOU CAN CHANGE YOUR COUNTRY!THIS IS YOU TIME!THIS IS OUR TIME!GOD BLESS TANZANIA..GOD BLESS AFRICA!
You need to be real Rev,
hizo kazi za utingo ni ngapi kuwatosha wanafunzi maelfu wa chuo kikuu?
How many students are in need of extra money? what percentage of UDSM studends are coming from absolute poverty and that the grants and loans are not sufficient? Then those who are in need of extra money because they failed to qualify to get all the money they needed, they need to find other means of getting that money. Hence Utingo, shopkeper, bamedi, mfagia ofisi, kuchimba mchanga, ukarani, muuza mafuta gas station, etc!
Wao si wasomi? intelligent and smart? meaning they are competitive and could have an upper hand to get a job as long as they agree to the pay? Do not stray out of subject and throw a curve ball of Richmond hapa! Wewe umenishikia bango nisichanganye mambo😉Hizo kazi zenyewe zinapatikana, kumbuka kuwa hata mamilioni ya wakazi wa Dar wanazimendea hizo kazi vile vile sio tu kupata pesa za kusomesha watoto wao bali pia kupata chakula na kulipia mamilioni ya dola kwa Richmond
Haya yote yatafanyika kama serikali itaacha kulipa makampuni hewa na kuweka hizo pesa hapo chuoni ili wanafunzi wasome vizuri bila matatizo na bila kuuingiliwa uhuru wao na dikiteta, fisadi na muuaji mukandala.
You are loosing an opportunity to close strong. You are venting about Ufisadi and accusing Mukandala of murder! You are becoming emotional and not objective.
Same problem and mistake Daruso and UDSM students made to present their case. Ukweli hata support kutoka kwa wananchi itakuwa ni ngumu kwa maana wameshindwa kuwa objective kujenga hoja kudai haki zao au kutoa malalamiko yao. Hii mambo ya kutumia millitant approach haitafanya kazi. In the end who is the victim loosing valuable time to complete their studies?
Ufisadi na Uhujumu is a system, ndio maana hata hapa JF inabidi tuwe tactical sana kwenye vita na si kuegemea emotional fight. Yes Ufisadi na mipango mibovu ni kizingiti kwa maendeleo mengi ya Taifa letu, lakini, si tayari tumeanza kupambana kwa vitendea kazi na si jazba?
Unakumbuka Mrema was right on the money kuhusu Ufisadi, lakini alitumia jazba, watu wakaendelea kupeta kufisadi. leo Slaa anatumia tactical moves kama mcheza chess, guess what, mafisadi wanajinyea!
Kuna mtu kasema ni mapambano ya Fikra hapo UDSM. Mimi nitaongeza na kusema ni Chess game, na sasa hivi wanafunzi wamepigwa checkmate!
I have developing story on KLH News on this situation.. kazi nzuri BiMdogo. Na ninashukuru kwa msaada wako jana umechangia.
out of touch with the reality..,
UKIWA UD huwezi pata huo muda wa kufanya temp labda likizo,na hizo temp hazipo,zilizokuwepo kuzipata hadi utoe rushwa!!
zisizohitaji rushwa tanzania haziitwi TEMP!!hebu acheni matusi jamani,since when kufanya kazi restaurant ni tempo tanzania.i know a bunch of huys living out of dinners!!kwa kifupi kwa nchi yetu kazi hizo hizo hapo juu ni EMPLOYMENT na sio temp!!
pili,kwa jinsi mijiprof ya hicho chuo inavyofuata systems za mwaka 47 haiwezi jenga mwanafunzi mbunifu hata kidogo,kwani ukileta ubunifu you are destined to fail.
mzazi gani anataka mwanae awe-dicontinued kwa kuwa alijaribu kuw ambunifu wa kubuni system ya maji??
haya mambo ya ubunifu ni kazi za graduate students under research centers za Universities husika na sio undergraduate,kwani kozi za undergraduate hasahasa engineering zinasisitiza kwenye basics,hivi mnataka kutufanya waTZ naive kiasi hiki kuwa shida za umeme na maji zitamalizwa na 3rd year students wa ENG dept UDSM??no way!!tanzanians deserve better treatment.
tatu hao maprof ndio kabisa usiseme!!there is no way wakatoa product ambayo ni research oriented wakati wanashindwa hata kuanda mihula based on their own works.yani ni jambo la ajabu basic curiculum ya UDSM haitumii vitabu kutoka UDSM.mnafanya nini hapo??kufuga kuku??
and again,msigeuze shida za wananchi,uzembe wa viongozi kuwa hoja kwenye kutatua matatizo ya wanafunzi.
How many students are in need of extra money? what percentage of UDSM studends are coming from absolute poverty and that the grants and loans are not sufficient? Then those who are in need of extra money because they failed to qualify to get all the money they needed, they need to find other means of getting that money. Hence Utingo, shopkeper, bamedi, mfagia ofisi, kuchimba mchanga, ukarani, muuza mafuta gas station, etc!
Wao si wasomi? intelligent and smart? meaning they are competitive and could have an upper hand to get a job as long as they agree to the pay? Do not stray out of subject and throw a curve ball of Richmond hapa! Wewe umenishikia bango nisichanganye mambo😉
You are loosing an opportunity to close strong. You are venting about Ufisadi and accusing Mukandala of murder! You are becoming emotional and not objective.[/QUOTE
Kuna aina sababu zaidi ya mbili zinazoweza kufanya mtu aitwe muuaji. Zifuatilie uone kuwa Mukandala anafit kwenye one of them.
Same problem and mistake Daruso and UDSM students made to present their case. Ukweli hata support kutoka kwa wananchi itakuwa ni ngumu kwa maana wameshindwa kuwa objective kujenga hoja kudai haki zao au kutoa malalamiko yao. Hii mambo ya kutumia millitant approach haitafanya kazi. In the end who is the victim loosing valuable time to complete their studies?
Wananchi hawajawahi kuwaunga mkono wanafunzi wa UD hata pale walipofanya maandamano ya kupinga ufisadi serikalini. Katika hili utahitaji mbinu nyingine kupata support ya wakazi wa DAR kwa wanafunzi wa chuo kikuu.
Ufisadi na Uhujumu is a system, ndio maana hata hapa JF inabidi tuwe tactical sana kwenye vita na si kuegemea emotional fight. Yes Ufisadi na mipango mibovu ni kizingiti kwa maendeleo mengi ya Taifa letu, lakini, si tayari tumeanza kupambana kwa vitendea kazi na si jazba?
Ukiiingilia uchaguzi huru wa watu au jamii yoyote basi tayari wewe unafit kwenye udikiteta. Ukitumia vibaya pesa na mali ya nchi na ukashindwa kutoa huduma muhimu kama maji, umeme na vifaa vya kusomea kwenye kampuni au sehemu unayoongoza basi wewe ni fisadi.
Unakumbuka Mrema was right on the money kuhusu Ufisadi, lakini alitumia jazba, watu wakaendelea kupeta kufisadi. leo Slaa anatumia tactical moves kama mcheza chess, guess what, mafisadi wanajinyea!
Anachofanya Slaa ni kilekile alichofanya Mrema ila kipindi hiki wananchi wengi wameelemika kuliko mwaka 1995
Kuna mtu kasema ni mapambano ya Fikra hapo UDSM. Mimi nitaongeza na kusema ni Chess game, na sasa hivi wanafunzi wamepigwa checkmate!
Hii chase haiko fair kwa vile mchezaji mmoja (wanafunzi) amefungwa kitambaa usoni (kwa kutumia nguvu ya dola) so mie sishangai kwa wao kupigwa checkmate
Then those who are in need of extra money because they failed to qualify to get all the money they needed, they need to find other means of getting that money. Hence Utingo, shopkeper, bamedi, mfagia ofisi, kuchimba mchanga, ukarani, muuza mafuta gas station, etc!
GET out of the MTUNGI ndugu!!u live like a frog who thought the well was the whole world!!
hivyo vitu unavyoviongelea vipo ila sio applocable tanzania!!hiyo kazi ya ukonda inagombaniwa kama hujui..,kila mpiga debe anasubiri apate nafasi naye awe konda!!kwa kifupi kumejaaa kila sehemu!!
kuhusu ubunifu,nchi yangu iliua hiyo department siku mingi tu!!
u sound like JK!!so much promises BUT no plan hence no execution!!that is to say irrelevant!
unaongelea wanafunzi wakiwa shuleni kuanzisha kampuni wakati graduates waanwekewa zengwe.we vipii??
kampuni ya kusafisha ofisi(uuuuuuuuuughhh).vipi we jamaa hizi si ndio tenda ambazo zinafanya walimu wa UD waishi mjini!!au hujui au unajifanya hujui!!
Kimweri,
TUmetoka kumlaumu Nyerere kuwa katufikisha hapa tulipo. Mnapewa alternatives za kusaidia matatizo mnazidi kulalamika na kukebehi!
Hivi kuna shida gani DARUSO kukaa chini na kuunda mbinu bunifu za kuwasaidia wanafunzi wapate kazi za muda?
You are being too dismissive without even making a single effort to try if option presented at the table could work.
Huu ndio what Nyani Ngabu calls "ndivyo tulivyo"!
Hata leo UDSM maji yangekuwa wanatoka na kutiririka kwenye ngazi na Umeme unawaka kufuata hatua za miguu, watu wangeendelea kulalamika!
Ubunifu si lazima uwe graduate school, hata undergrad unaweza kuwa mbunifu mzuri kama unajiamini na una nia ya kuwa mbunifu!
Majibu yako yameshatoa excusess tatu kubwa. Kwanza eti hakuna kazi, pili ubunifu ni kazi ya graduate na tatu maprofesa ni roho korosho.
Excuses, excuses, excuses!just like blaming Nyerere on everything!