ChoiceVariable
JF-Expert Member
- May 23, 2017
- 79,084
- 84,973
Kwa kutekeleza mradi huu sio tuu kwamba Bandari ya Tanga Sasa itakuwa mshindani wa Bandari ya Mombasa Bali tutakuwa tumeteka mizigo ya Uganda,North Eastern DRC,Rwanda ,Burundi na Kanda ya Ziwa na Kaskazimi Yote Kwa sababu Tanzania itakuwa imefungua ushoroba Mpya wa Uchumi wa usafirishaji Kupitia Bandari ya Tanga.
Mtalii anaweza shuka uwanja wa ndege wa Kimataifa wa Serengeti akasafiri Kwa Sgr Hadi Tanga na Dar.
Unaweza safirisha kontena lako kutoka Kisangani Hadi Tanga Kwa njia fupi zaidi kuliko Kupitia Mombasa.
My Take
Baada ya reli hiyo kukamilika,naomba Serikali ifikirie pia kujenga Sgr zifuatazo.
1.-Lagosa-Mpanda-Kilosa(Hapa itaungana na Sgr ya Sasa?
Hii ni route nzuri badala ya kutoka Kaliua-Mpanda-Karema.
2.Sgr ya kutoka Makambako (Tazara)-Malinyi-Liwale-Mtwara Port.
Mtalii anaweza shuka uwanja wa ndege wa Kimataifa wa Serengeti akasafiri Kwa Sgr Hadi Tanga na Dar.
Unaweza safirisha kontena lako kutoka Kisangani Hadi Tanga Kwa njia fupi zaidi kuliko Kupitia Mombasa.
My Take
Baada ya reli hiyo kukamilika,naomba Serikali ifikirie pia kujenga Sgr zifuatazo.
1.-Lagosa-Mpanda-Kilosa(Hapa itaungana na Sgr ya Sasa?
Hii ni route nzuri badala ya kutoka Kaliua-Mpanda-Karema.
2.Sgr ya kutoka Makambako (Tazara)-Malinyi-Liwale-Mtwara Port.