JAMHURI
JF-Expert Member
- Dec 15, 2010
- 449
- 60
Hafla ilifanyikia Ikulu ya Chamwino leo tarehe 24/11/2019.
Mhe Rais Daktari John Pombe Magufuli akiwa na kamati ya Uwekezaji mitaji ya Umma, (PIC) Inayosimamia mashirika na wakala wa serikali 266.
Leo mashirika 79 yametoa gawio na Michango ya Trilioni 1.005 kwa Serikali kupitia kwa Rais Dr. Magufuli. Mashirika mengine 187 yanayotengeneza hasara yamepewa siku 60 kujitathmini.
Imeelezwa kama wakiona hawawezi kuendana na matakwa hayo waanze kuachia ngazi wenyewe.
Mhe Rais Daktari John Pombe Magufuli akiwa na kamati ya Uwekezaji mitaji ya Umma, (PIC) Inayosimamia mashirika na wakala wa serikali 266.
Leo mashirika 79 yametoa gawio na Michango ya Trilioni 1.005 kwa Serikali kupitia kwa Rais Dr. Magufuli. Mashirika mengine 187 yanayotengeneza hasara yamepewa siku 60 kujitathmini.
Imeelezwa kama wakiona hawawezi kuendana na matakwa hayo waanze kuachia ngazi wenyewe.