Abbasfarudume
JF-Expert Member
- Feb 14, 2017
- 1,625
- 1,324
Niliuweka huu Uzi mie ndio wa kwanza kuleta taarifa hizi Ukatolewa. Na si mara ya kwanza kutolewa nyuzi zangu humu. Nakumbuka hata Uchaguzi wa marudio Kenya nikaleta huo Uzi pia ukafutwa. Au kuna watu maalum humu wanaokubaliwa na kukataliwa kutuma baadhi ya taarifa muhimu sawa lkn nashukuru!!!!!