Hii Ilikuwa Gia Tu Ya Kuingilia Ikulu.
>Mbona unachakata wafanyakazi hewa hadi leo? mwaka wa pili sasa. ajira hamtoi, nyongeza ya mishahara hamtoi, n.k kisa mchakato wa kuwabaini wafanyakazi hewa unaendelea.
>mbona faru john hadi leo mnamchakata?
>mbona mil 50 kila kijiji bado mnachakata namna ya kuzigawa. madai yenu eti mabilion ya jk yalipotea, hivyo mamilioni yenu mnayachakata vizuri. au ni kisingizio tu.
pia jpm alisikika akisema, serikali yangu mtumishi akiharibu kituo A simhamishii kituo B. Wapi bwana!!
Angalia Mifano Hii
Anna Kilango (RC) sasa mbunge
Prof Yunus Mgaya (tcu) sasa NIMR
Dr Dau {nssf) sasa balozi
ongezea na ww msomaji. mm naishia hapa. magufuli alitudanganya.
>Mbona unachakata wafanyakazi hewa hadi leo? mwaka wa pili sasa. ajira hamtoi, nyongeza ya mishahara hamtoi, n.k kisa mchakato wa kuwabaini wafanyakazi hewa unaendelea.
>mbona faru john hadi leo mnamchakata?
>mbona mil 50 kila kijiji bado mnachakata namna ya kuzigawa. madai yenu eti mabilion ya jk yalipotea, hivyo mamilioni yenu mnayachakata vizuri. au ni kisingizio tu.
pia jpm alisikika akisema, serikali yangu mtumishi akiharibu kituo A simhamishii kituo B. Wapi bwana!!
Angalia Mifano Hii
Anna Kilango (RC) sasa mbunge
Prof Yunus Mgaya (tcu) sasa NIMR
Dr Dau {nssf) sasa balozi
ongezea na ww msomaji. mm naishia hapa. magufuli alitudanganya.