montroll
JF-Expert Member
- Jul 31, 2011
- 319
- 126
Hata jana ENL alirudia maneno hayo ya vijana na ajira! Nadhani waziri amejibu kufuatia alichosema jana ama juzi.
ccm has left many untied loose ends, worse enough many of those loose ends ccm does not even know them! Coz it is blinded by corruption and 'ndio mzee' deases.
It is too late now to tie them, EL knows them, they can only bit him 'fire fighting' style.
Ccm shoud note tha this generation stones fire fighters who appear at the scene too late!
Kabaka anakuja kuzima moto wakati nyumba isha ungua!
Wajinga ni wengi na ndio mtaji wa ccm, hao tu ndio watakao amini kauli ya kabaka.
Pamoja na mapungufu yote ya EL lakini ameongea point na kwa kweli yuko sahihi kwa hili.
The strenght of upinzani in most african countries is directly proportional to unemployment.
Ccm government should should take EL presentation positively as an OTI, an oportunity to improve.
Hivi hawa mawaziri walitoka na nini shuleni?
Kwann wanajihami kwa kila jambo?
Wanajisikiaje wakikaa nyumbani kwao na familia zao juu ya utendaji wao na responce zao kwenye national issues kama hizi?