Sio siku nying nilisema mh Lowasa anapaswa kujibiwa.
Leo ktk taarifa ya habari TBC1 Napenda kunuku maneno ya Mh Glaudensia Kabaka waziri wa Vijana na ajira. "Sii kweli kwamba serikali imesema imelifungia macho swala la ajira".
Ndugu msomaji hivi majuz Mh Lowasa aliinyooshea vidole serikal kwa kutokulithamini swala la ajira kwa vijana. Mh Lowassa alienda mbali kwa kusema swala la ajira kwa vijana ni bomu linalongojea kulipuka.
Kutokana na maneno yake hayo leo Waziri husika amejibu mapigo. Take from me Serikali imemjibu kwa kishindo ila kisaikolojia waziri hajamtaja jina ila mwenye masikio haambiwi sikia, habari ndio hiyo. Atafute jingine.
Source TBC1
Leo ktk taarifa ya habari TBC1 Napenda kunuku maneno ya Mh Glaudensia Kabaka waziri wa Vijana na ajira. "Sii kweli kwamba serikali imesema imelifungia macho swala la ajira".
Ndugu msomaji hivi majuz Mh Lowasa aliinyooshea vidole serikal kwa kutokulithamini swala la ajira kwa vijana. Mh Lowassa alienda mbali kwa kusema swala la ajira kwa vijana ni bomu linalongojea kulipuka.
Kutokana na maneno yake hayo leo Waziri husika amejibu mapigo. Take from me Serikali imemjibu kwa kishindo ila kisaikolojia waziri hajamtaja jina ila mwenye masikio haambiwi sikia, habari ndio hiyo. Atafute jingine.
Source TBC1