Serikali yakacha kutokea Mahakamani kwenye kesi dhidi ya Kampuni ya ujenzi Konoike. Yadaiwa Dola Milioni 60

Huyu Jamaa kaitia hasara kubwa sana nchi yetu kuliko mtu yeyote mwingine. Tangu aingie Serikalini zaidi ya miaka 20 iliyopita hasara aliyoingiza kwa Taifa inaweza kabisa kufika 1 trillion. Kuna samaki wake, kuna ufisadi wa bilioni 227, kuna ufisadi wa kivuko uozo, kubomoa jengo la Tanesco 1.3 billion, samaki wa magufuli, pangaboi kukamatwa Canada $41 million (Sijui kama tutaambiwa ni kiasi gani kilicholipwa kwa walikuwa wakishikilia ndege ile)

Haha, madeni yote ya Baba Jesca hayo...alipewa hela za kujengea barabara yeye akazipiga na akina Kitwanga na Modestus Kipilimba kutafutia Urais
 
Huyu Jamaa kaitia hasara kubwa sana nchi yetu kuliko mtu yeyote mwingine. Tangi aingie Serikalini zaidi ya miaka 20 iliyopita hasara aliyoinfiza kwa Taifa inaweza kabisa kufika 1 trillion. Kuna samaki wake, kuna ufisadi wa bilioni 227, kuna ufisadi wa kivuko uozo, kubomoa jengo la Tanesco 1.3 billion, samaki wa magufuli, pangaboi kukamatwa Canada $41 million (Sijui kama tutaambiwa ni kiasi gani kilicholipwa kwa walikuwa wakishikilia ndege ile)
Halafu mzinzi.
 
Halafu mzinzi.

Maaskofu wameagizwa waombee viwanda na wasimwombee tena kwani ameshakuwa Malaika! Nani awekeze fedha kwenye nchi yenye kesi kubwa za kunyanyasa wafanya biashara akina Abood wanaambiwa warudishe viwanda ambavyo waliuziwa kihalali na Mkapa? Mbona nyumba za serikali walizogawana hawazitaifishi? Watu wananyanganywa mashamba yao yenye Hati kwa Rais kufuta hati zao bila kuzingatia sheria. JPM you must be kidding? Hakuna kiwanda zaidi ya viwonder ? TRA wanaingia kwenye maduka ya wafanyabiashara na kujipa jukumu la kuwa Cashiers unafikiri hata ukikesha ukiomba nani afanye biashara. Akina Nyerere walitaifisha mabenki na majumba na mashamba ya wazungu who will risk to invest hapa bila kuwepo na uhuru wa kibiashara! Big multinationals want sovereign guarantee and laws to safeguard their investments na hata umeme hakuna? Hakuna nchi ambayo inajitosheleza kwa madawa hapa Africa. You play cool and the companies will operate where it’s safe and secure and no Serikali kuingilia uchumi dola died before Nyerere !
 
Haya ndo mambo mnayotaka kuandika haya,habari za bomba,dia kuwaili hizo hamtaki kuandika kabisa
 
Back
Top Bottom